- Thread starter
- #21
Hoja zao muhimu tumeshawahi kuzisikiliza kama sio kuzisoma. kwa mfano
*Esther Bulaya(Ameongea mara nyingi bungeni(Hansard za bunge), Kampeni za uchaguzi Igunga na Arumeru mashariki nk)
*Esther Wassira(Tamko lake la kujiunga CHADEMA, ufafanuzi juu ya mzozo ulioibuka kuhusiana na undugu na Steven Wassira, Hotoba yake kwenye kongamano la Kumbukumbu ya Nyerere.)
****Links zao zote zimo humu JF unaweza ukatafuta ukasoma na kisha ukachangia mwenyewe.
Last edited by a moderator: