Shimatele dayani
Member
- Oct 10, 2012
- 32
- 1
Ester Bullaya sio mbaya hila kule halipo kuwepo ndio nuksi, vote yangu ni kwa komandoo wa kike; ESTER WASSIRA only ithink no other,l Wassira juuuuuuuuuuuuuuu ZAIDI. Wazee wa zamani kwa heri
Sijaelewa hiyo poll ni baba na mtoto wanagombania jimbo la Bunda.
Kwa nilivyo msikia jana tean muda wenyewe aliopewa? Hapa tuwe wawazi, hata kama mtu huwa haipendi CDM utajikuta unaipenda tu, ukweli CDM pale wamelamba Dume, dada ni mzima, anajenga hoja, ana present hoja, hana hofu na anaweza ku-join dots, Bulaya kama ana ndoto za kugombea pamoja na huyu nafikiri atakua anapoteza muda, ataabika, asipeleke timu pale, labda something to caution, kama huyo baba yake naye ataonehs interest za kugombea jimbo moja, nina hofu suala la kifamilia hapo ninaweza kumuathiri huyu binti, atakapo anza kuporomosha madongo ninahakika Steven Wassira atakosa wasikilizaji, kamati ya nyumbani then inaweza kukaa, hebu hapa Esther pamoja na CDM walifikirie hili mapema, ninahakika huyu Binti humu jamvini lazima ni member tu, sio lazima achangie but heb afikiri hili then abadiri hata jimbo, sheria zinaruhusu then pale Bunda CDM wapepeleke mtu mwingine asie na conflict of interest!
Ushauri mzuriKwa nilivyo msikia jana tean muda wenyewe aliopewa? Hapa tuwe wawazi, hata kama mtu huwa haipendi CDM utajikuta unaipenda tu, ukweli CDM pale wamelamba Dume, dada ni mzima, anajenga hoja, ana present hoja, hana hofu na anaweza ku-join dots, Bulaya kama ana ndoto za kugombea pamoja na huyu nafikiri atakua anapoteza muda, ataabika, asipeleke timu pale, labda something to caution, kama huyo baba yake naye ataonehs interest za kugombea jimbo moja, nina hofu suala la kifamilia hapo ninaweza kumuathiri huyu binti, atakapo anza kuporomosha madongo ninahakika Steven Wassira atakosa wasikilizaji, kamati ya nyumbani then inaweza kukaa, hebu hapa Esther pamoja na CDM walifikirie hili mapema, ninahakika huyu Binti humu jamvini lazima ni member tu, sio lazima achangie but heb afikiri hili then abadiri hata jimbo, sheria zinaruhusu then pale Bunda CDM wapepeleke mtu mwingine asie na conflict of interest!