Wasira huyu huyu abishane na Bulaya kweli BUNDA Mtakuwa mmechoka. mpeni jimbo BULAYA.
Hii mitoto ya ccm kula kulala ni majinga sana.hayajui yanazidi kuua chama.
Ukimuona mtu anashabikia ukijani, jua either ana maslahi kichama au anaumwa kifikra.
mkuu kama hujashtukia hii ni kwamba mtoa mada na waliocomment chini ni mtu mmoja, we jaribu kufuatilia post zingine alafu utaniambia
VIVA UKAWA!!!
Bulaya ndo msaliti
Wakurya hawawez kumpa bulaya hiyo ndo tamaduni.
Umewagundua eeh! walivyoitana.naona mmeanzisha post halafu mmeitana haraka haraka mchangie :wink::wink: