Ester bulaya na Esther matiku nawakubali Sana hawa wadada nauhakika watu WA Mara hawatafanya makosa na hivyo kuwachagua hawa wapambanaji kwa maslahi ya maendeleo Yao tofauti na hapo watalia.
Esther wassira naye anaonyesha yupo poa kiupambanaji wangempa nafasi ya ubunge chadema.
hao wazomeaji Ni mamluki wachache sio tishio kabisa.
Sisi Bunda tumejipanga vizuri kwa ushindi na chadema tunashinda asubuhi mapemaaaaaa, yaani saa sita tu kura zimetosha na tunaendelea na kuzilinda hadi kieleweke. Wale wa buku saba mkimbilieni dirishan halijafungwa mkachukue maana siku ndo zinaisha hivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.