Huyo dada kachemka sana
Umewagundua eeh! walivyoitana.
Si ajabu huyo ni mtu mmoja ana ID kibao anachangia mwenyewe story aliyoianzisha.
Hao ndio vijana wa lumumba street wanajifariji.
Naona unakata miuno hapa subiri mpaka maji yatoke kwenye piniBulaya ameingia kina kirefu. Ajute tu mjengoni harudi!!!
mtoa mada wachangiaji naona mlijipanga vizur. Haya mukamchk aliyewatuma mumwambia kaz tayar
Aende akamsaidie mumewe halima mdee,maana nae maji shingoni.