Huyo mwalimu anayeweka maisha magumu kwa wanafunzi hapo shuleni ndo kushikwa mpaka aseme mtoto yuko wapi.,Sio kweli, shule inatoa ushirikiano mkubwa sana...Ukiangalia platforms zote za shule zinatoa taarifa juu ya upotevu wa mwanafunzi huyu. Kuanzia waalimu, viongozi na wafanyakazi wengine wasiokua walimu wanatoa taarifa.
Mpaka wanafunzi walioruhusiwa na wazazi wao kuwa na simu nyumbani huku wanasambaza taarifa hizi. Kwenye groups nyingi za Whatsapp wamesambaza pia hiyo taarifa..Kwa Polisi sijui Bado. Pengine labda mzazi anahitaji mtoto apatikane Kwa haraka, ndo inapelekea yeye kusema hivo..Well mengine Mungu anajua zaidi.