Unaongea km aliyeshikiwa akili, hivi ndugai amekuwa Mungu???? As if umenyweshwa maji ya bendera???
Mkuu;
Nikuulize; Unasoma tu humu JF lakini tumesikia sauti ya Ndungai kuwa yupo tiyari kulianzisha Constitutional Crisis kwenye nchi hii. Wadhani hajui alisemalo?? Kama yu alijua asemalo basi nadhani anajua nguvu yake ipo wapi.