Mbona awamu hii ya tano ipo kwenye crisis?Waende angalao wamtibue Ndungai awapige kifungo cha miaka 20 bila kufika karibu na jengo la bunge. Ndungai alimwambia Mnyika "Usinijaribu". Mnyika akadhani ni utani, ghafla akajikuta anatupwa nje ya jengo kama mtoto . Ester na Halima, msimjaribu Ndungai. Kishasema, ataliamsha dude na kutatokea crisis hapa nchini. Ohooo. Hamkumsikia?? Msiliamshe dude.
Najuta kufunga na kuomba kwa ajili ya huyo jamaa, Mungu ndie anajua. Nilijua akirudi huenda Bunge lingetengemaa kumbe wapi, mtu. Unaweza kufika mbali sana!!!Kwanini wanawafanyia hivyo na mwezi mtukufu huu Shetani kafungiwa nina Mashaka sasa pengine Shetani ni binadamu mwenyewe.. kama haki hazifuatwi basi Shetani wa bungeni keshajulikana ni yupi?
Acha aliamshe nione hiyo crisis maana sijajua ana maana gani.Waende angalao wamtibue Ndungai awapige kifungo cha miaka 20 bila kufika karibu na jengo la bunge. Ndungai alimwambia Mnyika "Usinijaribu". Mnyika akadhani ni utani, ghafla akajikuta anatupwa nje ya jengo kama mtoto . Ester na Halima, msimjaribu Ndungai. Kishasema, ataliamsha dude na kutatokea crisis hapa nchini. Ohooo. Hamkumsikia?? Msiliamshe dude.
Katika kutetea maslahi ya wengi lazima wengine tujitoe muhanga, na hili halitapita hivi hivi tutakwenda Mahakamani
sahau wenzio wana mishahara na mifuko ya jimbo kila mwezi.Chezea kukosa Posho mwaka mzima, lazima walie njaa tu!
Katika kutetea maslahi ya wengi lazima wengine tujitoe muhanga, na hili halitapita hivi hivi tutakwenda Mahakamani
Huyo anaewapa kiburi Mungu atampa pigo ili ajue kuwa kuna mwenye mamlaka zaidi yake.Wanawake maboksa hao.
Waende wakaonyeshe ugangwe huo majimboni, ili wajue kuisoma namba haswa.
Kiki za kupoteza muda na kutamani posho tu
Mkuu unachongesha Tread?wakienda mahakani wakarudi na sheria za bunge zikaruhusu kufukuzwa basi ni vema spika akawafukuza jumla bungeni wasirudi tena.
Makaka poa njoeni hapa muwatetee na matusi yenu.
Inawezekana kabisa kwa mujibu wa sheria na kanuni zinazolipngoza bunge !wakafungue kesi ya kikatiba je muwakilishi wa wananchi anaweza zuiwa na kikundi cha wabunge wenzake asiwawakilishe wananchi waliomchagua kwa mwaka mzima?
Waache wala hawastahiki huruma wamezoea kufanya ujinga ujinga ili wauze sura ndio wakome.mhh yarabi roho yangu.wanakosa hela ya siku ngapi na kiasi gani ?
Umekaa na tecno yako ukatypeWaende angalao wamtibue Ndungai awapige kifungo cha miaka 20 bila kufika karibu na jengo la bunge. Ndungai alimwambia Mnyika "Usinijaribu". Mnyika akadhani ni utani, ghafla akajikuta anatupwa nje ya jengo kama mtoto . Ester na Halima, msimjaribu Ndungai. Kishasema, ataliamsha dude na kutatokea crisis hapa nchini. Ohooo. Hamkumsikia?? Msiliamshe dude.
Hata kama hakusikia vipkndi vya bunge huwa vinarekodiwa wangeweza kurejea ili kujiridhisha...! Ila huu ni upuuzi na undumilakuwili uliopindukia.Yaani ni aibu kubwa kwa Ndugai kutosikia neno alilosema yule mpuuzi kuwa kina Mnyika wezi, ila la kuiywa yeye fala lilisikika..huu ni upuuzi mkubwa.