Ester Bulaya: Tunakwenda Mahakamani

Ester Bulaya: Tunakwenda Mahakamani

eti dude! Hii ndio Tanzania bhana mtoa tusi anakula bata lakini mtukanwa kapigwa ban

Ndo maana unaambiwa; Mtoto wa mtwana hana haki mbele ya mtoto wa muungwana. Spika hana masikio ya kusikiliza maneno mengine lakini waliyokuwa wanamtukana kule nje ya jengo, kayanasa, Usiombe uingie hukumuni kwenye kesi ya wewe kumpiga kofi mtoto wa hakimu.
 
Yaani ni aibu kubwa kwa Ndugai kutosikia neno alilosema yule mpuuzi kuwa kina Mnyika wezi, ila la kuiywa yeye fala lilisikika..huu ni upuuzi mkubwa.
 
Mahakama hiko chini ya muhimili unaokuka rambirambi sidhani
 
wakafungue kesi ya kikatiba je muwakilishi wa wananchi anaweza zuiwa na kikundi cha wabunge wenzake asiwawakilishe wananchi waliomchagua kwa mwaka mzima?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Sheria za bunge ndio zinatoa hukumu namna hiyo?

Anayejua anijuze
 
Katika kutetea maslahi ya wengi lazima wengine tujitoe muhanga, na hili halitapita hivi hivi tutakwenda Mahakamani
Uharo mtupu labda kutetea ulimbukeni wa Chadema,bungeni pana heshima yako,hawa wasichana wanataka kugeuza bunge kama ukumbi wa kitchen party,kama yalivyo mahakama kuwa hayaingiliwa na mhimili wowote hata bunge haliwezi kuamuliwa na mahakama,ujinga wao ndio matokeo yake ,hawa wamezoea na wamekuwa mfano mbaya kwa jamii ya watu wastaarabu,wakati Halima akifanya fujo ,maendeleo katika jimbo lake la Kawe yamedoda na awamu hii ni mwisho kuwa mbunge wa Kawe,Halima na shoga wake Bulaya wantia aibu,urafiki na ushoga wao wasiulete bungeni,wamekuwa kama ndio wanapevuka
 
Waje kwetu,hata kama hawatashinda ila ushahidi wao,mwenendo utaweka precedent,Njooni tu hapa registry any time,Ita raise awareness kwa Watanzania
 
Katika kutetea maslahi ya wengi lazima wengine tujitoe muhanga, na hili halitapita hivi hivi tutakwenda Mahakamani
Bulaya toka aingie chadema kabadilika sana tabia, umebaki uzuri wa sura tu akili imeenda na mafuriko ya lowasa!
 
Acha tu mkuu, kama huyo @halimamdee, huku BunjuB tuna swala la soko lina figisu figisu za kufa mtu, sasa sijuwi kwanini kila kukicha yeye matatani tu bungeni?! Kutafuta kiki au ana matatizo ya kufuata sheria bila shuruti?! Maana mbona wabunge wa upinzani wa kike wako wengi tu na huwa wanajenga hoja na kuwakalia kooni chama tawala bila matatizo haya?! Kuna kitu kichwani kwake naona hata Mh, Bulaya kaiga sasa..Njooni jimboni mtusaidie matatizo yetu muweze jijengea kura/kula za baadaye..
Bavicha wanasema hiyo sio kazi ya mbunge!
 
Waende angalao wamtibue Ndungai awapige kifungo cha miaka 20 bila kufika karibu na jengo la bunge. Ndungai alimwambia Mnyika "Usinijaribu". Mnyika akadhani ni utani, ghafla akajikuta anatupwa nje ya jengo kama mtoto . Ester na Halima, msimjaribu Ndungai. Kishasema, ataliamsha dude na kutatokea crisis hapa nchini. Ohooo. Hamkumsikia?? Msiliamshe dude.
Mpaka kichwa kitaota nywele
 
wakienda mahakani wakarudi na sheria za bunge zikaruhusu kufukuzwa basi ni vema spika akawafukuza jumla bungeni wasirudi tena.

Makaka poa njoeni hapa muwatetee na matusi yenu.
Speaker ndiye anayewachagua?
 
Waende angalao wamtibue Ndungai awapige kifungo cha miaka 20 bila kufika karibu na jengo la bunge. Ndungai alimwambia Mnyika "Usinijaribu". Mnyika akadhani ni utani, ghafla akajikuta anatupwa nje ya jengo kama mtoto . Ester na Halima, msimjaribu Ndungai. Kishasema, ataliamsha dude na kutatokea crisis hapa nchini. Ohooo. Hamkumsikia?? Msiliamshe dude.
Wewe ni muoga Hata ukichapiwa huwezi Fanya lolote sana sana na wewe utachspwa
 
Back
Top Bottom