Inajitegemea kila mmojaPolitical engineers hili limekaaje?! Mhimili wa Mahakama vs Mhimili wa Bunge?!
Inajitegemea kila mmojaPolitical engineers hili limekaaje?! Mhimili wa Mahakama vs Mhimili wa Bunge?!
Katika kutetea maslahi ya wengi lazima wengine tujitoe muhanga, na hili halitapita hivi hivi tutakwenda Mahakamani
5. Mnyika kumshitaki askariMambo Mengi sana Mpaka sasa walisema wataenda Mahakamani lakin hawajaenda
1) Bunge la Africa Mashariki uchaguzi
2) Uchaguzi wa Mayor Kndon
3) Bashite na Vyeti n.k
4) ICJ na Ushindi wa Dkt JPM
Labda kwny hili wataenda kweli Mahakamni
Waache wala hawastahiki huruma wamezoea kufanya ujinga ujinga ili wauze sura ndio wakome.
Ukweli utatuweka huru, Ester Bulaya kabadilika, sijui kitu gani anatumia maana kachakaa vibaya vibaya! Sad!
Huyo ndugai mrudisheni India akabadilishiwe dawa.Bulaya toka aingie chadema kabadilika sana tabia, umebaki uzuri wa sura tu akili imeenda na mafuriko ya lowasa!
Ukweli utatuweka huru, Ester Bulaya kabadilika, sijui kitu gani anatumia maana kachakaa vibaya vibaya! Sad!
Nonsense!Wakati sahihi wa UKUTA ndio sasa.........baada ya muda morale italala. Opposition should Make good use of people's anger against a falling state.
Unaongea km aliyeshikiwa akili, hivi ndugai amekuwa Mungu???? As if umenyweshwa maji ya bendera???Waende angalao wamtibue Ndungai awapige kifungo cha miaka 20 bila kufika karibu na jengo la bunge. Ndungai alimwambia Mnyika "Usinijaribu". Mnyika akadhani ni utani, ghafla akajikuta anatupwa nje ya jengo kama mtoto . Ester na Halima, msimjaribu Ndungai. Kishasema, ataliamsha dude na kutatokea crisis hapa nchini. Ohooo. Hamkumsikia?? Msiliamshe dude.
wakienda mahakani wakarudi na sheria za bunge zikaruhusu kufukuzwa basi ni vema spika akawafukuza jumla bungeni wasirudi tena.
Makaka poa njoeni hapa muwatetee na matusi yenu.
Sasa pale wameteteaje maslai ya wengiKatika kutetea maslahi ya wengi lazima wengine tujitoe muhanga, na hili halitapita hivi hivi tutakwenda Mahakamani
NENDA TU MAHAKAmANI HUNA ADABU NA HUKO MAHAKAMANI TUTAKUSHUGULIKIA ZAIDIKatika kutetea maslahi ya wengi lazima wengine tujitoe muhanga, na hili halitapita hivi hivi tutakwenda Mahakamani
Mbona awamu hii ya tano ipo kwenye crisis?
Umekaa na tecno yako ukatype
Wewe ndiyo unamuona kachakaa sababu anaitendea haki kazi yake aliyoombabkwa wapiga kura wake.
Subiri ni siku Wanyarwanda wakishashika sehemu zote nyeti ndipo mtajuta sasa hivi tupo na BOT.Baada ya muda mnyarwanda anajichukulia ugavana kilainai,mmoja kushtuka Madini yote Mali ya Rwanda.
Ester na Halima hawana nidhamu wote.Katika kutetea maslahi ya wengi lazima wengine tujitoe muhanga, na hili halitapita hivi hivi tutakwenda Mahakamani
Acheni majungu. Mnyaruanda gani, semeni mlitaka mtu wenu apewe cheo, kakosa sasa mnaanza kugonga keyboard eti mnyarandwa. Mbona wewe mhutu lakini tunakaa kimya?
Ester na Halima hawana nidhamu wote.