Espionage Specialists: Majasusi wanagunduliwa na kukamatwa kwa namna na njia gani?

Samahani hii ID ni sawa sawa na verified user ina majna yangu yote kamili kwa hiyo sipo tayari kueleza chochote zaidi ya nilichoandika wajbu wako kufuatilia habari hzo
Wewe endelea kumwaga tu upupu, halafu uone utakavyoanza kukuwasha mwenyewe, ndipo utajua maana ya lile neno aliloliongea mkuu wa kaya kwamba MNAWASHWA WASHWA, ila huwa wanakamatwa kimya kimya kama ambavyo kitengo chenyewe cha kimya kimya
 
Kingine jaribu kurekebisha aina yako ya uulizaji you are so direct to an event hata recruit wa mgambo ukimuulza hivyo atapata shaka
Hv humu tunafahamiana kweli¿???naona watu wanawashwa washwa kutoa details zenye kuwaweka matatani, Be carefull mkuu!!!
 
Mchumba tumbo yule, mi mkidhani amenukuliwa na Kagame, si alienda kule then ndio akarudi na spidi zote mpaka kuwa. Mwenyekiti kwa nguvu za sizonje
Jamani nilimaanisha jamaa nilijua amenukuliwa na kagame amfanyie ujasusi wa kiuchumi, karudi na kuchukua uenyekiti Kwan nguvu ya sizonje
 
Nakupa tu mwanga ingawa mimi si mtaalam sana wa masuala haya lakini unaweza kufikiria tu namna ya kukabiliana na janga hili la majasusi wa kiuchumi, kiteknolojia na maeneo mengine.

Majasusi wengi wa ndani ambao wanafanya kazi iitwayo "counter espionage", ambapo majasusii wa kutoka nje wanafanyiwa utafiti kupitia mawasiliano ya wao kwa wao au ya kwenda nje ya nchi.

Mawasiliano yanakuwa yanapatikana kupitia vinasa sauti, picha za video na simu za mkononi na zile za mezani.

Hivyo unaweza kuwa na "wataalam wa kijasusi" katika sehemu zote muhimu kama vile TTCL, TCRA na kwingine.

Pia waweza kuweka majasusi wa counter espionage kwenye mipaka na viwanja vya ndege au bandarini kutafiti mambo mengi tu kama vile uingizwaji wa silaha za moto, vyombo vya kutumia kwenye ujasusi wa kutoka nje na kadhalika.

Warusi na wamarekani wamefanikiwa sana katika hii ya counter espeionage ambapo Russia ilikuwa ina kutuo kabisa cha kukusanya data za kijasusi na baadae kilipogundulika kwanba majasusi walikuwa wakiingia ndani sana ya Marekani basi wakaondolewa na kurudishwa kwao Russia.

Vivyohivyo majasusi wa nchi zingine kama Uingereza, Marekani au Ujerumani siku zote wapo "busy" kubadilishana na kushirikiana katika baadhi ya data kitendo kinachoitwa kwa kiingereza Intelligence Data Sharing ili kukabiliana na espionage yaani ujasusi wa nje lakini wakiwa kila mtu analinda maslahi ya taifa lake.

Hili eneo ni pana sana lakini si mbaya kujifunza kutokana na urefu wa kamba maalum ya maarifa.

Tatizo kamba yenyewe ya maarifa haya haikupeleki kwenye dimbwi lenyewe bali laishia tu njiani.

Pia waweza kupata mwanga kupitia mada hii ambayo niliandika huko nyuma kidogo kuhusu ujasusi.

Ujasusi wa Kiuchumi na Kiteknolojia unakuwa kwa kasi, Je Tanzania iko tayari
 
Uoga wa nin..... jiachie ushalikoroga malizia nione kama lina uzito nikutie nguvuni..... kama la kisee... nikuache..

Jifanye jiwe nikukute police post na full story... utaisaidia police kwa namna moja ama ingine
Mkuu, acha kumtisha mwenzio
 
Yani katika mashushushu ambao wanajua kazi zao.ni wanawake...wako pro kinyama! Hata.barmaid anaekufungulia bia muangalie vizuri...
Nilisha date na mmoja she was very smart..
Sasa natafuta wa kuoa kabisa
 
Back
Top Bottom