Espionage Specialists: Majasusi wanagunduliwa na kukamatwa kwa namna na njia gani?

Acha kuandika vitu usivyo vielewa kabla hujafanya uchunguzi wa kina. Hata Ulaya kulikuwa na manual. Mambo ya kutumia computer au wewe unaita Data Base hayana mda mrefu sana ulimwenguni kwa ujumla. Enzi za 80's au mwanzoni mwa 90's nchi nyingi za Europe zilikuwa bado manual kama unavyodai.

Chanzo cha network ni FBI na CIA Amerika kama njia moja wapo ya ku communicate kwa siri ili warusi wasielewe nini kinaendelea.

Kitu wazungu wametushinda ni discipline ya kazi zao. Ukiingia katia nchi zao unakuwa registered. Yaani unakuwa katika system hapo huna ujanja. Sisi bado tuko katika ape stage kiutawala na kimaisha. Na watanzania ndiyo kabisaaa!

Hii nchi kila mmoja anaingia na kuondoka anavyotaka. Halafu tunajidai eti tuna usalama na amani. Tuna usalama wakati wananchi wengi hawako katiaka system na haijulikani wamezaliwa wapi na lini. Na sijui kama watu wote wanao mzungunguka Rais wetu ni watanzania halisi. I doubt!



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, kitu gani kimekufanya udauti uraia wa baadhi ya wanaomzunguka Rais.Labda kuna kitu umekiona, hebu tujeze na sisi mkuu

mafisadi hayana rangi
 
deep cover inategemea.Sometimes you just need to be you and know your targets. Hata kama itachukua miaka as long as kuna milestone towards that target. Hawa cia wanaweza kuwa na gadget za kila aina lakini ukae ukijua ni rahisi sana kukamatwa kuliko kuwa old school; page nzima umehifadhi kwenye kichwa au kuzungumza lugha without accent au kuwa na uwezo ambao wengi hawana hao ndio true spies of all time. Kingine spies haitaji kuwa na silaha kama wengi wanavyofikiria.Just as simple as you could be.
Umefafanua sana man
 
Acha kuandika vitu usivyo vielewa kabla hujafanya uchunguzi wa kina. Hata Ulaya kulikuwa na manual. Mambo ya kutumia computer au wewe unaita Data Base hayana mda mrefu sana ulimwenguni kwa ujumla. Enzi za 80's au mwanzoni mwa 90's nchi nyingi za Europe zilikuwa bado manual kama unavyodai.

Chanzo cha network ni FBI na CIA Amerika kama njia moja wapo ya ku communicate kwa siri ili warusi wasielewe nini kinaendelea.

Kitu wazungu wametushinda ni discipline ya kazi zao. Ukiingia katia nchi zao unakuwa registered. Yaani unakuwa katika system hapo huna ujanja. Sisi bado tuko katika ape stage kiutawala na kimaisha. Na watanzania ndiyo kabisaaa!

Hii nchi kila mmoja anaingia na kuondoka anavyotaka. Halafu tunajidai eti tuna usalama na amani. Tuna usalama wakati wananchi wengi hawako katiaka system na haijulikani wamezaliwa wapi na lini. Na sijui kama watu wote wanao mzungunguka Rais wetu ni watanzania halisi. I doubt!



Sent using Jamii Forums mobile app



Mmmmmh,

Aiseeeeeh.
 
Acha kuandika vitu usivyo vielewa kabla hujafanya uchunguzi wa kina. Hata Ulaya kulikuwa na manual. Mambo ya kutumia computer au wewe unaita Data Base hayana mda mrefu sana ulimwenguni kwa ujumla. Enzi za 80's au mwanzoni mwa 90's nchi nyingi za Europe zilikuwa bado manual kama unavyodai.

Chanzo cha network ni FBI na CIA Amerika kama njia moja wapo ya ku communicate kwa siri ili warusi wasielewe nini kinaendelea.

Kitu wazungu wametushinda ni discipline ya kazi zao. Ukiingia katia nchi zao unakuwa registered. Yaani unakuwa katika system hapo huna ujanja. Sisi bado tuko katika ape stage kiutawala na kimaisha. Na watanzania ndiyo kabisaaa!

Hii nchi kila mmoja anaingia na kuondoka anavyotaka. Halafu tunajidai eti tuna usalama na amani. Tuna usalama wakati wananchi wengi hawako katiaka system na haijulikani wamezaliwa wapi na lini. Na sijui kama watu wote wanao mzungunguka Rais wetu ni watanzania halisi. I doubt!



Sent using Jamii Forums mobile app
aiseee ni hataree saanaa
 
Mkuu, kitu gani kimekufanya udauti uraia wa baadhi ya wanaomzunguka Rais.Labda kuna kitu umekiona, hebu tujeze na sisi mkuu

mafisadi hayana rangi
Hamna kitu. Ni system tu ndiyo ina nifanya ni doubt hivyo. Hapa Dar nakutana na watu ambao wanazungumza kiswali safi sana, lakini ukiwa naye close utasikia ni mmalawi. Hata passport sijui kama anayo. Kuna usalama hapo? Inaogopesha!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamna kitu. Ni system tu ndiyo ina nifanya ni doubt hivyo. Hapa Dar nakutana na watu ambao wanazungumza kiswali safi sana, lakini ukiwa naye close utasikia ni mmalawi. Hata passport sijui kama anayo. Kuna usalama hapo? Inaogopesha!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo unamaaisha mipakani Kuna udhaifu mkubwa kiasi ambacho mvamizi anaweza kuingia nchini muda wowote autakao bila kutambulika.

mafisadi hayana rangi
 
  • Thanks
Reactions: SDG
View attachment 557753

CNN na hata BBC wamekuwa wakionesha mashushu wa mossad wanavyoshtakiwa Iran. Wale wa FSB ya Russia wanakamatwa na kurudishwa Urusi ama kufungwa marekani.

Mimi dada yenu na urembo na umri wangu huu sijawahi kusikia katika vyombo vya habari eti kuna mtu hapa Africa amekamatwa na kushatakiwa eti kwa kufanya kosa la kufanya ujasusi (espionage)

Hawa spies ina maana hawakamatwi ama wakimatwa wanarudishwa nchini mwao?

Yours faithfully,

Girl Next-door,

Nawasilisha.
Kuna wale watanzania walishikwa msumbij kama majasus waLiachiwa karibun

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi wanachomeana, kama wale CIA 20 walionyongwa China mwanzoni mwa mwaka huu walivyochongewa na mwenzao.
 
Back
Top Bottom