Espionage Specialists: Majasusi wanagunduliwa na kukamatwa kwa namna na njia gani?

Girl Next-door

JF-Expert Member
Apr 16, 2017
242
509
IMG_20170804_094514.jpg


CNN na hata BBC wamekuwa wakionesha mashushu wa mossad wanavyoshtakiwa Iran. Wale wa FSB ya Russia wanakamatwa na kurudishwa Urusi ama kufungwa marekani.

Mimi dada yenu na urembo na umri wangu huu sijawahi kusikia katika vyombo vya habari eti kuna mtu hapa Africa amekamatwa na kushatakiwa eti kwa kufanya kosa la kufanya ujasusi (espionage)

Hawa spies ina maana hawakamatwi ama wakimatwa wanarudishwa nchini mwao?

Yours faithfully,

Girl Next-door,

Nawasilisha.
 
Africa utendaji wao siyo kama ulaya ama Israel.
Kwanza , Africa tupo manual zaidi ila ulaya , USA na Israel wanatumia gadgets zaidi kwa hiyo ni rahisi kugunduliwa kwa vifaa walivyonavyo ama vinavyotumika kufatilia.

Pia, mossad, CIA KGB/FSB wanakuwa na double agents sasa hapo ndipo picha hadi negative inapoungua kama ni leo tunasema ndipo flash au computer inapoingiliwa na virus kisha folders zote zinaliwa yaani ndiyo unakuwa umedakwa.

Mwisho, sisi Africa hatujulikani kihiivyo historia , elimu ama maisha katika social networks, pamoja na careers. Ila wao hao , white races wanatabia ya kuwa na data base sasa ikitokea mtu ameingilia mfumo wa computer ujue kila mtu anakuwa wazi kama meno ya mamba.

Any way, I love you Girl Next-door
 
deep cover inategemea.Sometimes you just need to be you and know your targets. Hata kama itachukua miaka as long as kuna milestone towards that target. Hawa cia wanaweza kuwa na gadget za kila aina lakini ukae ukijua ni rahisi sana kukamatwa kuliko kuwa old school; page nzima umehifadhi kwenye kichwa au kuzungumza lugha without accent au kuwa na uwezo ambao wengi hawana hao ndio true spies of all time. Kingine spies haitaji kuwa na silaha kama wengi wanavyofikiria.Just as simple as you could be.
 
View attachment 557753

CNN na hata BBC wamekuwa wakionesha mashushu wa mossad wanavyoshtakiwa Iran. Wale wa FSB ya Russia wanakamatwa na kurudishwa Urusi ama kufungwa marekani.

Mimi dada yenu na urembo na umri wangu huu sijawahi kusikia katika vyombo vya habari eti kuna mtu hapa Africa amekamatwa na kushatakiwa eti kwa kufanya kosa la kufanya ujasusi (espionage)

Hawa spies ina maana hawakamatwi ama wakimatwa wanarudishwa nchini mwao?

Yours faithfully,

Girl Next-door,

Nawasilisha.
Hapa waliwahi kuwakamata wale majasusi wa C.I.A pale arusha mwaka 2010 kama sijakosea tena ilikuwa usiku huku wanakamatwa ila ni kimya kimya
 
Back
Top Bottom