dume30
JF-Expert Member
- Nov 15, 2013
- 391
- 219
Huku inakua ngumu sana Cause spy wengi wa nchi mbali mbali wanakuja nchi za Africa kwa njia mbali mbali,Mifano ma-volunteer wa Peacecorps,JICA,KOICA(baadhi ni spy), wengine wapo vyuoni kama exchange students,Wengine vyuoni kama invited/guest professors (kwenye hili rejea kitabu cha cheche).
Kwa mazingira hayo huku inakua ngumu kuwadaka na pili hata wakidakwa haitangazwi.
Kwa mazingira hayo huku inakua ngumu kuwadaka na pili hata wakidakwa haitangazwi.