Erolink recruiting agency sasa yamulikwa na serikali

bornagain

JF-Expert Member
Jan 25, 2012
3,383
1,354
Hawa jamaa wa Erolink recruiting agency mwisho wao umekaribia unless kama kuna mkubwa yupo nyuma yao, lakini kama wamesimama wao kama wao lazima anguko lao laja.Bwana usichezee vilio vya watoto wa maskini ambao wanavuja jasho then anaekula ni Erolink recruiting agency kwa mikataba fekifeki huku wanaovuja jasho ni wengine. Bora serikali iingilie kati maana hawa jamaa walikuwa wanajifanya miungu mtu na interview zao za ajabu ajabu zilizojaa upendeleo wa hali ya juu. Soma mwenyewe ya leo leo
Home
 
Hawa jamaa wa Erolink recruiting agency mwisho wao umekaribia unless kama kuna mkubwa yupo nyuma yao, lakini kama wamesimama wao kama wao lazima anguko lao laja.Bwana usichezee vilio vya watoto wa maskini ambao wanavuja jasho then anaekula ni Erolink recruiting agency kwa mikataba fekifeki huku wanaovuja jasho ni wengine. Bora serikali iingilie kati maana hawa jamaa walikuwa wanajifanya miungu mtu na interview zao za ajabu ajabu zilizojaa upendeleo wa hali ya juu. Soma mwenyewe ya leo leo

Hapo mwanangu yupo boss mnene sana voda ana nyumba hukoooo cjui babake alikuwa nani chama flani ndo kampuni yake iyoo
 
tatizo je watanzania wanaoonewa watatoa ushirikiano na ushahidi unaotakiwa ??nnavyoyajua matanzania hii ni no watalalamika tu fb na mitandao ya jamii
 
tatizo je watanzania wanaoonewa watatoa ushirikiano na ushahidi unaotakiwa ??nnavyoyajua matanzania hii ni no watalalamika tu fb na mitandao ya jamii

Tatizo usalama wa kazi zao utakuwepo ..... maana nachoona mimi lazima watawatishia na hapo ndipo ushirikiano utakosekana na kuwa safisha jamaa faster
 
Hainishangazi hata kidogo maana nchi yetu hii kama kuna mtu mkubwa nyuma yako unaweza hata ukaua kwa maksudi then hakimu akasema kuwa mtuhumiwa aliua kwa bahati mbaya
Hawa jamaa wa Erolink recruiting agency mwisho wao umekaribia unless kama kuna mkubwa yupo nyuma yao, lakini kama wamesimama wao kama wao lazima anguko lao laja.Bwana usichezee vilio vya watoto wa maskini ambao wanavuja jasho then anaekula ni Erolink recruiting agency kwa mikataba fekifeki huku wanaovuja jasho ni wengine. Bora serikali iingilie kati maana hawa jamaa walikuwa wanajifanya miungu mtu na interview zao za ajabu ajabu zilizojaa upendeleo wa hali ya juu. Soma mwenyewe ya leo leo

Hapo mwanangu yupo boss mnene sana voda ana nyumba hukoooo cjui babake alikuwa nani chama flani ndo kampuni yake iyoo
 
Hawa jamaa wa Erolink recruiting agency mwisho wao umekaribia unless kama kuna mkubwa yupo nyuma yao, lakini kama wamesimama wao kama wao lazima anguko lao laja.Bwana usichezee vilio vya watoto wa maskini ambao wanavuja jasho then anaekula ni Erolink recruiting agency kwa mikataba fekifeki huku wanaovuja jasho ni wengine. Bora serikali iingilie kati maana hawa jamaa walikuwa wanajifanya miungu mtu na interview zao za ajabu ajabu zilizojaa upendeleo wa hali ya juu. Soma mwenyewe ya leo leo

Hapo mwanangu yupo boss mnene sana voda ana nyumba hukoooo cjui babake alikuwa nani chama flani ndo kampuni yake iyoo

Huyo bila shaka ni Mwamvita Makamba.
 
Kwenye list waimulike na Radar Recruitment kwa Deal na kujuana.Maana Kampuni za Gas zote zinatoa kazi kupitia Radar lakini wao wanaziuza Irene acha huo mchezo.
 
Kwenye list waimulike na Radar Recruitment kwa Deal na kujuana.Maana Kampuni za Gas zote zinatoa kazi kupitia Radar lakini wao wanaziuza Irene acha huo mchezo.

Ni kweli mkuu hawa watu wa Radar ni wabaguzi sana wanatoa kazi kwa kujuana sana ama kwa kitu kidogo.
 
Ni kweli mkuu hawa watu wa Radar ni wabaguzi sana wanatoa kazi kwa kujuana sana ama kwa kitu kidogo.

Recruitment agency zote ni za kibabaishaji sana, mimi napomuona mtu ameajiriwa kupitia recruitment agency nakuwa na walakini nae sana.Kuna jamaa wa IT aliwahi kuajiriwa mahali nilipokuwa natafutia mkate tena aliajiriwa kupitia hawahawa Radar.

Nasema ule ukweli jamaa alikuwa hajiwezi hata kidogo, baadae akaniambia ukweli kabisa kuwa pale Radar ni mchongo wako tu basi.
 
Huyu Mwamvita Makamba amejenga hekalu kutokana na unyonyaji..Yeye na kaka yake ni pa.n.ya tu wala hawana maana..Mwamvita yuko tayari kufanya lolote kuhifadhi maslahi yake haramu!!
 
tatizo je watanzania wanaoonewa watatoa ushirikiano na ushahidi unaotakiwa ??nnavyoyajua matanzania hii ni no watalalamika tu fb na mitandao ya jamii

Nasikia watu hawajaogopa,wamefunguka sana.
 
Kama zile kazi za makampuni ya gas Mtwara ndio balaa kabisaaa...watu wanaohangaka usiku na mchana wapate kipato chao, halafu haya makampuni yanayocheza katikati yenye watu wasiona utaalamu wowote kwenye kazi husika ndio wanakula kwa upole. Hujafa hujaumbika...
 
Recruitment agency zote ni za kibabaishaji sana, mimi napomuona mtu ameajiriwa kupitia recruitment agency nakuwa na walakini nae sana. Kuna jamaa wa IT aliwahi kuajiriwa mahali nilipokuwa natafutia mkate tena aliajiriwa kupitia hawahawa Radar.

Nasema ule ukweli jamaa alikuwa hajiwezi hata kidogo, baadae akaniambia ukweli kabisa kuwa pale Radar ni mchongo wako tu basi.

Ndiyo tulikofika nchi yetu,mimi hakuna kitu kinachonishangaza eti kampuni imeajiri HR tena wapo 5 department nzima sasa wanashindwaje kufanya interview na kumpata mtahiniwa wanaemtaka?Nchi yetu imefilisika kimawazo ndiyo maana hata serikali yenyewe imeanzisha sijui secretariat ya ajira sijui utumishi my foot
 
serikali ipi?watu tumekamayta ajira kupitia erolink na hawajawahi ku dectate terms..hivi we unataka kuwa customer care afu bado unataka ulipwe mshahara wa directors au managers? watanzania watu wa hovyo sana..pale wizara ya kazi si kuna agency pelekeni cv muone kama hamjasubiri miaka mia 5 ndo muuitwe.
 
Ndiyo tulikofika nchi yetu,mimi hakuna kitu kinachonishangaza eti kampuni imeajiri HR tena wapo 5 department nzima sasa wanashindwaje kufanya interview na kumpata mtahiniwa wanaemtaka?Nchi yetu imefilisika kimawazo ndiyo maana hata serikali yenyewe imeanzisha sijui secretariat ya ajira sijui utumishi my foot

usi comment vitu usivojua...HR personnel kazi yao si limited to recruitment...kwa hiyo ukisikia HR manager au Office basi unajua huyu kazi yake kuajiri na ku interview watu..badilikeni watanzania
 
usi comment vitu usivojua...HR personnel kazi yao si limited to recruitment...kwa hiyo ukisikia HR manager au Office basi unajua huyu kazi yake kuajiri na ku interview watu..badilikeni watanzania

Haya bwana mimi yawezekana sijui kazi za HR lakini mimi sehemu zote nilizowahikufanyiwa interview panel haijakamilika bila kuwepo HR na mkuu wa department husika sasa kama majukumu hayo tumewapa recruitment agencies ni sawa siwezi kubishana na wewe maana huenda mambo ya siku hizi yamekuwa kidigitali zaidi
 
Najaribu kuzifuatilia kwa karibu hizi Recruitment agency mfano Radar Kazi nyingi wanauza plus kujuana kazi walizouza hivi karibuni ni za Voda,BG,Statoil,Heineken na TICTS.
 
what i found it disturbing is why would the agency get involved with my payments... the so called agencies should be limited to look for competent people only and let the company held final discussion on payments and for how long they need to be with the worker!!!
 
Back
Top Bottom