Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 71,023
- 94,076
Kuna watu hapa wanamtukana Komba lakini watamsifia Johnny Depp kwa kitendo chake cha kumshtaki Amber Heard.
Amber Heard alikua akimpiga Johnny Depp wakati wa uhusiano wao, Elon Musk pia amepigwa na huyu binti wakati wa uhusiano.
Shida siyo elimu. Shida ni logic ya waTz wengi ni fupi mno.
Unafahamu namna US ilivyo na sheria za kumlinda mke au mtoto?
Mzazi tu kumchapa mtoto ni msala, sasa fikiria mume maarufu/tajiri ampe mabanzi mkewe, uone atavyotoka kuwa hero kwenda zero