Eritrea panatisha, Bora Tanzania

Eritrea panatisha, Bora Tanzania

Hio misingi ndio imetufikisha kwenye udikters
Nadhani CCM wenyewe walishawishiwa kuanza kufanya mabadiliko ambayo mwl aliyapinga binafsi.

Na mabadiliko hayo yalikuwa ya kuuza utaasisi wa chama na kufanya chama kiwe mali ya mtu.

Ni ujinga hata kama unamuamini mtu kiasi gani huwezi kumuuzia haki zako

Hasa suala la kumfanya mtu mungu mtu kama walivyomfanya Magufuli.

Mbali na mapenzi yao kwa Nyerere enzi hizo lakini ndani ya vikao vya chama alikuwa criticized hiyo ndiyo ilikuwa taasisi.
 
Nadhani CCM wenyewe walishawishiwa kuanza kufanya mabadiliko ambayo mwl aliyapinga binafsi.

Na mabadiliko hayo yalikuwa ya kuuza utaasisi wa chama na kufanya chama kiwe mali ya mtu.

Ni ujinga hata kama unamuamini mtu kiasi gani huwezi kumuuzia haki zako

Hasa suala la kumfanya mtu mungu mtu kama walivyomfanya Magufuli.

Mbali na mapenzi yao kwa Nyerere enzi hizo lakini ndani ya vikao vya chama alikuwa criticized hiyo ndiyo ilikuwa taasisi.
Asalaam alaikum. vipi hali zenu popote mlipo? Nahitaji cours ya After effet vidio production. Hivyo naomba kuelekezwa chuo au mtu anaye weza kunisomesha pesa zipo na sihitaji lazima niwe na cheti. +255624960047 (call & whatsapp) ~ +255777496444 (whatsapp only)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanafanana kwa kiasi kikubwa na wakoloni wao Waethiopia. Ethiopia hairuhusuiwi kwa raia kuwa na akaunti ya $ hata kama mwajiri wake analipa kwa $. Na kwa wageni kama watu wanaofanya kazi balozini wanaruhusiwa kutoa kiasi kidogo tu (nadhani US$300 hivi) tu tena baada ya kuonyesha tiketi ya ndege kuwa una safari ya nje ya nchi. Yaani hao Waeritrea wamechukuwa sheria za Waethiopia waliowatawala kama sisi tulivyochukuwa za Waingereza hata baada ya kupata uhuru wetu. Kama maisha yalivyo magumu Eritrea, ndivyo yalivyo magumu Ethiopia. Kama kulivyo na kampuni moja ya simu Eritrea, hivyo hivyo Ethiopia. Kama Waeritrea wanavyokimbia nchi yao, hivyo hivyo Waethiopia.
Shida sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe na wenzako hamjui mnachoongea. Eritrea na Ethiopia walianza hivi hivi kama Jiwe anavyo-jimwambafai. Mara hiki kimezuiwa leo, mara kile kimezuiwa kesho. Mwisho wakafika hapo walipo leo. Kama hamna akili ni vizuri kunyamaza na kula ugali wenu kimya kimya na kuwaacha wenye akili walinde uhuru wenu wa kikatiba.
Noma sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa Asmara mwezi May mwaka huu, mmoja wa mbongo tuliyekuwa naye, akamtania binti mmoja kuwa anataka kumuoa aje naye Dar, ilikuwa shida....binti alifurahi sana na alikuwa tayari kabisa.........wako desperate sana, wanaishi kijamaa. Na cha ajabu, kama umeingia Asmara, huruhusiwi kwenda mji mwingine bila kibali, hata kama walikupa viza.
Wenzetu mnapata wapi exposure ya kutalii nchi hiivi.? Jamani, wengine sisi toka tumezaliwa tuko Tanzania tu. Lakini ukiingia Jf, unasikia mara niko Eritrea, mara USA, Congo, Nigeria, Misri, nk. Wengine sisi tutatebeaga lini kupanua fikra.? Tupeni njia jamani ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asalaam alaikum. vipi hali zenu popote mlipo? Nahitaji cours ya After effet vidio production. Hivyo naomba kuelekezwa chuo au mtu anaye weza kunisomesha pesa zipo na sihitaji lazima niwe na cheti. +255624960047 (call & whatsapp) ~ +255777496444 (whatsapp only)

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda Veta yoyote au vyuo vya ufundi pia kama DIT, ATC au MUST

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom