Eric Omondi vs Pilipili - Tupige Kura

Eric Omondi vs Pilipili - Tupige Kura

Pilipili mwenyewe anajitahidi kucopy na kupaste vitu vya Omond lakini bado hajawezea hataaa!
 
Huu ushindanishi wako hauna uhalisia kabisa...ni kama kuwaweka Usain Bolt na Peter Msechu uwanjani alafu kabisa eti unahesabu 'on your marks...'
 
Mpaka sasa matokeo

Omond ~ 43

Anaesababisha vidonda vya tumbo (pili pili) ~ 1
 
Mpaka sasa matokeo

Omond ~ 43

Anaesababisha vidonda vya tumbo (pili pili) ~ 1
Daah.. Hivi Pilipili akiingia humu si atalia? Mlivomsema kaka wa watu..

Ila mbona Kwenye Harusi mabinti wanampenda?
 
Mtoa mada naona unalinganisha vitu viwili visivyo lingana.Mlinganishe Erick na Basket mouth au da drunker.Pilipili wenzake ni kina kipemba,senga,kingwendu etc.Pilipili hawezi kushindana hata na joti na kundi lake au mkwere.
Pilipili hata mjomba kazoya wa jambo na vijambo hamuwezi
 
Bora kidogo Unger linganisha omondi na Churchill show, ukitaka kujua comedian wa kenya wapo juu wao wanaandaa live shows, watu wanatoa viingilio Kwenda kiburudani, tofauti na hawa wa kwetu wanao tegemea air time Za TV stations.
Ebu ingia YouTube uangalie show za omondi.
How to be magufuri, how to be Sauti soul, how to be diamond nk.
Jamaa yuko vizuri, he is one man comedian army, tofauti na Churchill show ambayo is a combination of different comedians.
 
Bora kidogo Unger linganisha omondi na Churchill show, ukitaka kujua comedian wa kenya wapo juu wao wanaandaa live shows, watu wanatoa viingilio Kwenda kiburudani, tofauti na hawa wa kwetu wanao tegemea air time Za TV stations.
Ebu ingia YouTube uangalie show za omondi.
How to be magufuri, how to be Sauti soul, how to be diamond nk.
Jamaa yuko vizuri, he is one man comedian army, tofauti na Churchill show ambayo is a combination of different comedians.
Asante Kwa ufafanuzi.. Nimejifunza kitu
 
Mtoa mada si mzima..

Eric Omondi ni number nyingine..!!

Ni sawa kulinganisha Tembo na jongoo
 
Tanzania bado hatujapata Stand Up Comedian wa Level za kina Omondi na itatuchukua muda mrefu sana kupata sababu ya ukosefu wa watu makini katika hiyo sanaa. Kingine ni level ya uelewa wa watu wanaochekeshwa. Kenya huwezi copy kitu Youtube alafu utegemee ukatumie kuchekesha watu kwa kitu hicho kama wanavyofanya hawa ma comedian wa Bongo.
 
pilipili hafui dafu hata kwa kina teacher Mpamire,Hamo,Mammito wenzetu Kenya wametuzidi sana kwenye stand up comedy
 
Back
Top Bottom