Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
Am so disapointed with equity bank inapokuja issue ya online payments kwa platform salama ya paypal.
Some times ukifanya manunuzi yaweza tokea hujapata bidhaa ama muuzaji kaishiwa bidha hivyo inabidi paypal wakurudishie pesa yako (REFUND).
zamani ukipewa refund ya paypal pesa ilikuwa inarudi kwenye account ya benki automatically, Siku hizi hali imekuwa tofauti kabisa kwani inakulazimu uende physically kwenye tawi lao ujaze fomu then usubiri wakurefund na mbaya zaidi kuna refunds zangu zilitumia zaidi ya wiki ili zirudishwe kweny account ya equity.
Kuna benki kama mbili za ziada natumiaga kufanya online transactions na ikitokea kuna refunds pesa huwa inarudishwa kwenye account ya benki automatically ndani ya muda mfupi bila kwenda kujaza fomu kweny matawi.
This type of bureacratic process yaweza kuwa muhimu kutekeleza quality controll policies za refunds lakini kiuhalisia hii kitu inatuumiza sana wateja kiasi cha kuanza taratibu kutumia benki nyingine ili kukwepa hii kero ya kujaza fomu na kusubiria kwa muda mrefu pesa irudi kwenye account, Tunawaomba mtatue hii kero
Some times ukifanya manunuzi yaweza tokea hujapata bidhaa ama muuzaji kaishiwa bidha hivyo inabidi paypal wakurudishie pesa yako (REFUND).
zamani ukipewa refund ya paypal pesa ilikuwa inarudi kwenye account ya benki automatically, Siku hizi hali imekuwa tofauti kabisa kwani inakulazimu uende physically kwenye tawi lao ujaze fomu then usubiri wakurefund na mbaya zaidi kuna refunds zangu zilitumia zaidi ya wiki ili zirudishwe kweny account ya equity.
Kuna benki kama mbili za ziada natumiaga kufanya online transactions na ikitokea kuna refunds pesa huwa inarudishwa kwenye account ya benki automatically ndani ya muda mfupi bila kwenda kujaza fomu kweny matawi.
This type of bureacratic process yaweza kuwa muhimu kutekeleza quality controll policies za refunds lakini kiuhalisia hii kitu inatuumiza sana wateja kiasi cha kuanza taratibu kutumia benki nyingine ili kukwepa hii kero ya kujaza fomu na kusubiria kwa muda mrefu pesa irudi kwenye account, Tunawaomba mtatue hii kero