Epuka upotoshaji mpya wa wanaCCM

Epuka upotoshaji mpya wa wanaCCM

Wanatia huruma na kusikitisha sana. Leo wanasema Eti watafufua viwanda vya ufi na urafiki wakati miaka yote wapo madarakani na Sera zao mfu ndo zimesababisha viwanda hivyo kufa na maelfu ya watu na vijana kukosa ajira
Nasemaje, hawa papasi mwisho wao 28 Oct!
Walazimishe upuuzi wanaoplan kuufanya hawataamini, ustaarabu tutaweka pembeni na mimi mwenyewe personally nitaingia front iwe mchana ama usiku niwafunze adabu! Ngoja tuendelee kukusanya chupa za wine kwa ajili ya petrol bombs
 
Ukiamua kujitoa ufahamu unaweza kuandika UPUUZI wa kila aina ili tu siku yako ya kupata mkate wako wa kila siku iingie! PATHETIC!
Chadema imeshindwa kujinadi kwa sera zinazowafaa watanzania. Ndio maana uchaguzi wa mwaka huu Chadema itashindwa kwa mara nyingine tena. Inabidi uchaguzi wa 2025 Chadema watafute sera zinazotatua changamoto za maisha ya kila siku ya watu wa kawaida.
 
Chadema imeshindwa kujinadi kwa sera zinazowafaa watanzania. Ndio maana uchaguzi wa mwaka huu Chadema itashindwa kwa mara nyingine tena. Inabidi uchaguzi wa 2025 Chadema watafute sera zinazotatua changamoto za maisha ya kila siku ya watu wa kawaida.
Sema watashinda kwa kishindo kwani upande was pili sio tu wamefilisika Sera,Bali wameamua kuwaudhi kabisa waajiri wao,au wapigakura wao. Wapigakura wamekasirika na tumeanua mwisho wao ni siku kumi na tano zijazo ,Oct.28.
 
Tumeshajua NEC wamesimamia wapi. Ila nguvu ya umma iliyopewa kibali na Mungu mwaka huu ndo itaamua nani awe Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025
Uwazi na Uhuru ukiwepo! Vinginevyo tujiandae kisaikolojia kwa yale tutakayotendwa!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom