Epuka upotoshaji mpya wa wanaCCM

Epuka upotoshaji mpya wa wanaCCM

Hata Rwanda MUNGU yupo lakini bado watu wanateswa
Mungu hajawai weka mwisho mwema kwa madikteta. Muda ni mwalimu mzuri sana. Kagame destiny yake ipo tu.

Mungu anaipenda Tanzania pia. Ndo mana ndani ya miaka hii mitano Watanzania tumelalamika sana na hadi Mungu ametuletea watu wa kututetea kutoka nje baada ya kuona hali ya ndani ya nchi ni mbaya sana.

Amini nakwambia Tanzania tunapata suluhisho mapema zaidi ya Rwanda
 
Mungu hajawai weka mwisho mwema kwa madikteta. Muda ni mwalimu mzuri sana. Kagame destiny yake ipo tu.

Mungu anaipenda Tanzania pia. Ndo mana ndani ya miaka hii mitano Watanzania tumelalamika sana na hadi Mungu ametuletea watu wa kututetea kutoka nje baada ya kuona hali ya ndani ya nchi ni mbaya sana.

Amini nakwambia Tanzania tunapata suluhisho mapema zaidi ya Rwanda
Uganda toka 1985 wengine hatujazaliwa mpk leo Dikteta anawatafuna, inamaana huko hawana MUNGU?
 
Uganda toka 1985 wengine hatujazaliwa mpk leo Dikteta anawatafuna, inamaana huko hawana MUNGU?
Unafikiri Mwisho wa Museveni ukoje??? Kila jambo na wakati wake. Wakati wa Mungu ukifika atafanya tu!!
 
Hizo ni imani tu, muhimu ni kupambana hapa hapa hakuna cha MUNGU
Mapambano bila baraka za Mungu ni kazi bure. Unadhani Tundu Lissu angepona dhidi ya kifo kwenye risasi za wana Ccm 16 bila baraka na nguvu za Mungu ?
 
Mapambano bila baraka za Mungu ni kazi bure. Unadhani Tundu Lissu angepona dhidi ya kifo kwenye risasi za wana Ccm 16 bila baraka na nguvu za Mungu ?
Israel ukileta fyoko hata leo wanakukamua na ni taifa teule la MUNGU, MUNGU amekupa akili unatakiwa kupambana
 
Israel ukileta fyoko hata leo wanakukamua na ni taifa teule la MUNGU, MUNGU amekupa akili unatakiwa kupambana
Unafikiri bila nguvu ya Mungu Israël wangepona kwenye six day War ya 1967 au Yum Kippur War ya 1973????
 
EPUKA UPOTOSHAJI MPYA WA WANA CCM

Amani iwe nanyi wadau

Leo napenda kuwaelimisha watanzania wenzangu juu ya upotoshaji mpya wa wana Ccm kwa watanzania. Ukipata ujumbe huu sambaza kwa mwingine kwa namna yeyote unayoweza, iwe Facebook, Twitter, Insta au Whatsup.

Kumetokea maneno kutoka kwa wana Ccm kuwakatisha tamaa watanzania wanaotaka mabadiliko kupitia Tundu Antiphas Lissu kuwa Eti wanasiasa hawawezi badirisha maisha yao ivyo wajikite tu kuchapa kazi!!

Watanzania wenzangu, ukisikia maneno hayo kutoka kwa mwana Ccm yeyote naomba umdharau kwa kiwango cha juu kabisa cha dharau kwa sababu Hii ni mbinu mpya wanayoitumia ili kuvunja morali ya watanzania kwenda kumpigia kura Tundu Antiphas Lissu na mwishowe kupata maendeleo ya kweli!

Ukweli ni kwamba, Siasa hasa namna ya kuchagua kiongozi awe yeyote ni lazima izingatiwe kwa namna ya kipekee kabisa na kila mwananchi, hii ni kwa sababu bila kufanya hivyo lazima utaathilika kwa namna moja au nyingine iwe unachapa kazi au huchapi kazi! Napenda kutoa mfano kwenye machache kama ifuatavyo;

1. Watanzania wote wachapa kazi wameathilika na mfumuko wa bei ya sukari kutoka shilingi 1800 kwa mwaka 2015 hadi shilingi 2800/3000 kwa mwaka huu. Hili limesababishwa na jambo moja tu la Magufuli kupiga marufuku uagizwaji wa sukari kutoka nje. Hivyo kutozingatia siasa kwa kigezo kuwa kiongozi hawezi badirisha maisha yako si kweli. Kila mwananchi anapaswa kuzingatia siasa

2. Wananchi wa mikoa ya Songwe, Rukwa, Katavi na Tabora pamoja na kuwa wachapakazi sana kwa kulima tumbaku, ila maamuzi ya serikali ya magufuli kuwazuia kuuza tumbaku zao kwa wafanyabiashara wanaowataka kwa bei wanayotaka wao imepelekea wawe masikini baada ya kulazimishwa kuuza tumbaku zao kwa vyama vya ushirika ambavyo vimenunua mazao yao kwa bei ya chini zaidi na kupelekea wao kuwa masikini. Hivyo kuchapa kazi hakujawasaidia, ni maamuzi ya mwanasiasa na serikali yake yaliyoharibu maisha yao.

3. Wananchi wa Mkoa wa Kagera, ambao walichapa sana kazi katika kuzalisha kahawa ila serikali ya magufuli ilikuja kuwazuia kuuza kahawa yao tena kwa bei ya faida nchini Uganda na wakalazimishwa kuuza kwa Chama cha ushirika kwa bei ya chini zaidi na ya hasara. Huu pia ni uthibitisho kuwa kutozingatia siasa au nani anakuwa kiongozi ni jambo la msingi sana ambalo linaweza badili maisha yako

4. Wafanyabiashara wengi ambao walikuwa ni wachapa kazi kweli , waliofungua biashara nyingi na kuajili watu wengi Ila wameathiliwa sana na Sera za serikali ya awamu ya tano za kutowajali wafanyabiashara na kuwasumbua kikodi hivyo kupelekea wengi kufunga biashara/ Makampuni yao

Mfano wa haya makampuni ni Rhino Cement.

5. Yapo mengi sana kuanzia wakulima wa Mbaazi, Korosho bila kusahau Mbao, Mchele na mazao mengi ambao wameathilika sana na maamuzi ya wanasiasa pamoja na kuwa wachapa kazi sana. Serikali ya awamu ya tano kupiga maarufu mazao kwenda nje kumeshusha sana bei ya Mchele, mahindi, mbao na kusababisha umasikini mkubwa sana kwa watanzania.

Ewe mtanzania, epuka sana huu upotoshaji wa wana Ccm unaolenga kukukatisha tamaa. Siasa na Aina ya kuongozi anaeongoza nchi ndo misingi Mikuu ya mustakabali wa maisha yako wewe na kizazi chako maana hata ukisema uchape kazi, Sera mbovu za kiongozi aliye madarakani lazima zitakuathili wewe, uzao wako na maisha yako kwa ujumla.

Ewe Mtanzania Chagua maendeleo ya kweli mwaka huu, Usiogope kufanya mabadiliko.

Chagua Tundu Antiphas Lissu awe Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025, Chagua wabunge na madiwani wa Chadema hapo Oktoba 28 mwaka huu.

Tanzania yenye maendeleo ya kweli ya watu na vitu inawezekana!

Usiacha kushare ujumbe huu!!

Lord denning.
Kwani wao siyo wanasiasa? wametutawala kama mifugo sasa basiiiiiii!
 
Nashukuru mimi binafsi nimefanikiwa kushawishi watu zaidi ya 20 kupiga kura. Hawa walikuwa wamegoma kabisa kupiga kura kufuatia kunajisiwa box la kura baada ya awamu ya tano kuingia madarakani.
Wale uliowashawishi wasiende kuboresha taarifa zao kwenye daftari la mpiga kura vipi? Nao watapiga kura?
 
Wale uliowashawishi wasiende kuboresha taarifa zao kwenye daftari la mpiga kura vipi? Nao watapiga kura?
Watu ninaowashawishi ni watu wazima wenye vitambulisho, sio watoto. Hawa watu wazima ni wale tuliokubaliana kuwa hakuna kupiga kura tena, ila kwakuwa Tundu Lisu mpinzani wa kweli ndio anagombea, tutapiga kura. Ingekuwa ni hilo kapi Nyalandu usingetuona. Na huyu Lisu anatushawishi kupiga kura maana hana lugha za kumuachia Mungu.
 
EPUKA UPOTOSHAJI MPYA WA WANA CCM

Amani iwe nanyi wadau

Leo napenda kuwaelimisha watanzania wenzangu juu ya upotoshaji mpya wa wana Ccm kwa watanzania. Ukipata ujumbe huu sambaza kwa mwingine kwa namna yeyote unayoweza, iwe Facebook, Twitter, Insta au Whatsup.

Kumetokea maneno kutoka kwa wana Ccm kuwakatisha tamaa watanzania wanaotaka mabadiliko kupitia Tundu Antiphas Lissu kuwa Eti wanasiasa hawawezi badirisha maisha yao ivyo wajikite tu kuchapa kazi!!

Watanzania wenzangu, ukisikia maneno hayo kutoka kwa mwana Ccm yeyote naomba umdharau kwa kiwango cha juu kabisa cha dharau kwa sababu Hii ni mbinu mpya wanayoitumia ili kuvunja morali ya watanzania kwenda kumpigia kura Tundu Antiphas Lissu na mwishowe kupata maendeleo ya kweli!

Ukweli ni kwamba, Siasa hasa namna ya kuchagua kiongozi awe yeyote ni lazima izingatiwe kwa namna ya kipekee kabisa na kila mwananchi, hii ni kwa sababu bila kufanya hivyo lazima utaathilika kwa namna moja au nyingine iwe unachapa kazi au huchapi kazi! Napenda kutoa mfano kwenye machache kama ifuatavyo;

1. Watanzania wote wachapa kazi wameathilika na mfumuko wa bei ya sukari kutoka shilingi 1800 kwa mwaka 2015 hadi shilingi 2800/3000 kwa mwaka huu. Hili limesababishwa na jambo moja tu la Magufuli kupiga marufuku uagizwaji wa sukari kutoka nje. Hivyo kutozingatia siasa kwa kigezo kuwa kiongozi hawezi badirisha maisha yako si kweli. Kila mwananchi anapaswa kuzingatia siasa

2. Wananchi wa mikoa ya Songwe, Rukwa, Katavi na Tabora pamoja na kuwa wachapakazi sana kwa kulima tumbaku, ila maamuzi ya serikali ya magufuli kuwazuia kuuza tumbaku zao kwa wafanyabiashara wanaowataka kwa bei wanayotaka wao imepelekea wawe masikini baada ya kulazimishwa kuuza tumbaku zao kwa vyama vya ushirika ambavyo vimenunua mazao yao kwa bei ya chini zaidi na kupelekea wao kuwa masikini. Hivyo kuchapa kazi hakujawasaidia, ni maamuzi ya mwanasiasa na serikali yake yaliyoharibu maisha yao.

3. Wananchi wa Mkoa wa Kagera, ambao walichapa sana kazi katika kuzalisha kahawa ila serikali ya magufuli ilikuja kuwazuia kuuza kahawa yao tena kwa bei ya faida nchini Uganda na wakalazimishwa kuuza kwa Chama cha ushirika kwa bei ya chini zaidi na ya hasara. Huu pia ni uthibitisho kuwa kutozingatia siasa au nani anakuwa kiongozi ni jambo la msingi sana ambalo linaweza badili maisha yako

4. Wafanyabiashara wengi ambao walikuwa ni wachapa kazi kweli , waliofungua biashara nyingi na kuajili watu wengi Ila wameathiliwa sana na Sera za serikali ya awamu ya tano za kutowajali wafanyabiashara na kuwasumbua kikodi hivyo kupelekea wengi kufunga biashara/ Makampuni yao

Mfano wa haya makampuni ni Rhino Cement.

5. Yapo mengi sana kuanzia wakulima wa Mbaazi, Korosho bila kusahau Mbao, Mchele na mazao mengi ambao wameathilika sana na maamuzi ya wanasiasa pamoja na kuwa wachapa kazi sana. Serikali ya awamu ya tano kupiga maarufu mazao kwenda nje kumeshusha sana bei ya Mchele, mahindi, mbao na kusababisha umasikini mkubwa sana kwa watanzania.

Ewe mtanzania, epuka sana huu upotoshaji wa wana Ccm unaolenga kukukatisha tamaa. Siasa na Aina ya kuongozi anaeongoza nchi ndo misingi Mikuu ya mustakabali wa maisha yako wewe na kizazi chako maana hata ukisema uchape kazi, Sera mbovu za kiongozi aliye madarakani lazima zitakuathili wewe, uzao wako na maisha yako kwa ujumla.

Ewe Mtanzania Chagua maendeleo ya kweli mwaka huu, Usiogope kufanya mabadiliko.

Chagua Tundu Antiphas Lissu awe Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025, Chagua wabunge na madiwani wa Chadema hapo Oktoba 28 mwaka huu.

Tanzania yenye maendeleo ya kweli ya watu na vitu inawezekana!

Usiacha kushare ujumbe huu!!

Lord denning.
Ndiomana ufipa mna hasira Sana mnajua Tundulisu atakuja kuwafanya mue matajir achen kuota ivi Arusha Kati ya ccm Na wachaga wa kule walio Ijenga ni kina Nan?, kama sio wachaga wenyewe kwa juhud zao za kutafuta pesa?
 
EPUKA UPOTOSHAJI MPYA WA WANA CCM

Amani iwe nanyi wadau

Leo napenda kuwaelimisha watanzania wenzangu juu ya upotoshaji mpya wa wana Ccm kwa watanzania. Ukipata ujumbe huu sambaza kwa mwingine kwa namna yeyote unayoweza, iwe Facebook, Twitter, Insta au Whatsup.

Kumetokea maneno kutoka kwa wana Ccm kuwakatisha tamaa watanzania wanaotaka mabadiliko kupitia Tundu Antiphas Lissu kuwa Eti wanasiasa hawawezi badirisha maisha yao ivyo wajikite tu kuchapa kazi!!

Watanzania wenzangu, ukisikia maneno hayo kutoka kwa mwana Ccm yeyote naomba umdharau kwa kiwango cha juu kabisa cha dharau kwa sababu Hii ni mbinu mpya wanayoitumia ili kuvunja morali ya watanzania kwenda kumpigia kura Tundu Antiphas Lissu na mwishowe kupata maendeleo ya kweli!

Ukweli ni kwamba, Siasa hasa namna ya kuchagua kiongozi awe yeyote ni lazima izingatiwe kwa namna ya kipekee kabisa na kila mwananchi, hii ni kwa sababu bila kufanya hivyo lazima utaathilika kwa namna moja au nyingine iwe unachapa kazi au huchapi kazi! Napenda kutoa mfano kwenye machache kama ifuatavyo;

1. Watanzania wote wachapa kazi wameathilika na mfumuko wa bei ya sukari kutoka shilingi 1800 kwa mwaka 2015 hadi shilingi 2800/3000 kwa mwaka huu. Hili limesababishwa na jambo moja tu la Magufuli kupiga marufuku uagizwaji wa sukari kutoka nje. Hivyo kutozingatia siasa kwa kigezo kuwa kiongozi hawezi badirisha maisha yako si kweli. Kila mwananchi anapaswa kuzingatia siasa

2. Wananchi wa mikoa ya Songwe, Rukwa, Katavi na Tabora pamoja na kuwa wachapakazi sana kwa kulima tumbaku, ila maamuzi ya serikali ya magufuli kuwazuia kuuza tumbaku zao kwa wafanyabiashara wanaowataka kwa bei wanayotaka wao imepelekea wawe masikini baada ya kulazimishwa kuuza tumbaku zao kwa vyama vya ushirika ambavyo vimenunua mazao yao kwa bei ya chini zaidi na kupelekea wao kuwa masikini. Hivyo kuchapa kazi hakujawasaidia, ni maamuzi ya mwanasiasa na serikali yake yaliyoharibu maisha yao.

3. Wananchi wa Mkoa wa Kagera, ambao walichapa sana kazi katika kuzalisha kahawa ila serikali ya magufuli ilikuja kuwazuia kuuza kahawa yao tena kwa bei ya faida nchini Uganda na wakalazimishwa kuuza kwa Chama cha ushirika kwa bei ya chini zaidi na ya hasara. Huu pia ni uthibitisho kuwa kutozingatia siasa au nani anakuwa kiongozi ni jambo la msingi sana ambalo linaweza badili maisha yako

4. Wafanyabiashara wengi ambao walikuwa ni wachapa kazi kweli , waliofungua biashara nyingi na kuajili watu wengi Ila wameathiliwa sana na Sera za serikali ya awamu ya tano za kutowajali wafanyabiashara na kuwasumbua kikodi hivyo kupelekea wengi kufunga biashara/ Makampuni yao

Mfano wa haya makampuni ni Rhino Cement.

5. Yapo mengi sana kuanzia wakulima wa Mbaazi, Korosho bila kusahau Mbao, Mchele na mazao mengi ambao wameathilika sana na maamuzi ya wanasiasa pamoja na kuwa wachapa kazi sana. Serikali ya awamu ya tano kupiga maarufu mazao kwenda nje kumeshusha sana bei ya Mchele, mahindi, mbao na kusababisha umasikini mkubwa sana kwa watanzania.

Ewe mtanzania, epuka sana huu upotoshaji wa wana Ccm unaolenga kukukatisha tamaa. Siasa na Aina ya kuongozi anaeongoza nchi ndo misingi Mikuu ya mustakabali wa maisha yako wewe na kizazi chako maana hata ukisema uchape kazi, Sera mbovu za kiongozi aliye madarakani lazima zitakuathili wewe, uzao wako na maisha yako kwa ujumla.

Ewe Mtanzania Chagua maendeleo ya kweli mwaka huu, Usiogope kufanya mabadiliko.

Chagua Tundu Antiphas Lissu awe Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025, Chagua wabunge na madiwani wa Chadema hapo Oktoba 28 mwaka huu.

Tanzania yenye maendeleo ya kweli ya watu na vitu inawezekana!

Usiacha kushare ujumbe huu!!

Lord denning.
Vimekuja vizee vilivyojichokea maisha jana usiku, vikanikuta nyumbani na wife, vikaanza kubwabwaja upuuzi wao wa ccm, nikawa navirekodi, vilivyomaliza nilivipa sekunde3 viwe nje ya geti nikaondoka kwenda bandani kumfungulia popii
 
Ndiomana ufipa mna hasira Sana mnajua Tundulisu atakuja kuwafanya mue matajir achen kuota ivi Arusha Kati ya ccm Na wachaga wa kule walio Ijenga ni kina Nan?, kama sio wachaga wenyewe kwa juhud zao za kutafuta pesa?
Mmeamia kwenye ukabila tena??? Watanzania wameshawajua sasaivi. Mmeishia kuleta propaganda tu. Hakuna lolote la msingi na la maana mnalofanya. Mwisho wenu ni October 28 tu
 
Vimekuja vizee vilivyojichokea maisha jana usiku, vikanikuta nyumbani na wife, vikaanza kubwabwaja upuuzi wao wa ccm, nikawa navirekodi, vilivyomaliza nilivipa sekunde3 viwe nje ya geti nikaondoka kwenda bandani kumfungulia popii
Wanatia huruma na kusikitisha sana. Leo wanasema Eti watafufua viwanda vya ufi na urafiki wakati miaka yote wapo madarakani na Sera zao mfu ndo zimesababisha viwanda hivyo kufa na maelfu ya watu na vijana kukosa ajira
 
Watu ninaowashawishi ni watu wazima wenye vitambulisho, sio watoto. Hawa watu wazima ni wale tuliokubaliana kuwa hakuna kupiga kura tena, ila kwakuwa Tundu Lisu mpinzani wa kweli ndio anagombea, tutapiga kura. Ingekuwa ni hilo kapi Nyalandu usingetuona. Na huyu Lisu anatushawishi kupiga kura maana hana lugha za kumuachia Mungu.
Huo ndo ukweli wenyewe. Lissu ameshawishi watu wengi sana kupiga kura mwaka huu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom