Epuka Mtego huu Jakaya


Labda ndo maana anasafiri mara kwa mara kwaajili ya kutafuta mahali pakukimbilia
 
Rais hawezi kuwaondoa watendaji wake only kwa sababu madokta wanataka, akishamuondoa Nkya na Mponda watataka amuache na mama Salma Kikwete.

kwani mama salma sisi tumemwajiri? Aliyeajiriwa ni jk na akina nkya na kama ndo waajiriwa tuna uamuzi wa kuwaondoa au kuwaacha madarakani
 
mtu mwenye akili timamu hawezi kushabikia mgomo wa madaktari.mleta mada we ni mchochezi na wala huishi hapa tanzania huathiriki na matokeo ya mgomo wa madaktari.

Hakuna anayeshabikia mgomo wa madaktari,na kama wapo/yupo basi ni serikali yenyewe. Walikubaliana na kupeana implementation period kwa baadhi ya madai. Iweje hadi leo kina Mponda na Nkya bado wanapeta?
 
Kweli kuna watu na viatu. Hivi sio vitu vya kushabikia hata kidogo, impact yake inagharimu maisha ya watu.
 
umenena vema sana mkulu,'adhabu ya kaburi aijuaye maiti'
 
mleta mada ni msaliti wa damu ya watanzania maskini ambao hawawezi kwenda kutibiwa india

we ndio msaliti na tapeli mkubwa uliyetumwa na hao magamba yako,
jambo la kumshauri rais ili kuepusha matatizo kwa kuacha ulaghai wake kwenye maisha ya watu limekuwa uchochezi tena?tumekosa wazalendo nchi hii sizani kama we ni mtanzania
 
Rais hawezi kuwaondoa watendaji wake only kwa sababu madokta wanataka, akishamuondoa Nkya na Mponda watataka amuache na mama Salma Kikwete.

Wow....ni heri kuwa na post hata 20 lakini za maana kwa jamii kuliko kuwa na 1,399 zilizojaa u.p.u.p.u. Hivi kweli mtu anaweza kuja tu na kukwambia umwache mkeo vinginevyo nitagoma kazi!! Kwani Kikwete na mkewe wana faida gani sasa hivi kwa watanzania? Hata wao wanaweza kuondoka vilevile kuliko wananchi kuendelea kutaabika. Mbona njia ya Msoga inajulikana!!
 
ndio maana mliwaua watu wanne songea kwa sababu walikosa subira! Walitakiwe wafe 100 ndipo waandamane sio 9! Pumbafu kabisa!
 
Kikwete,kama Mponda na mama Nkya ni wasaidizi wazuri kwako,wapeleke WAMA hapo mtashauriana na mama Mwanaasha pekee lakini sisi hatuwataki.
 
Hivi wasipoondolewa mawaziri madaktari wanakosa nini?

Hivi wakiondolea mawaziri madakatari wanapata nini?

Hivi hii habari ya nipe nikupe imetoka wapi?

Aisee ningekuwa JK..wala nisingekubali huu upuzi ..

Hawa madks imefika mahali tuwaambie ukweli kwamba mnaboa..

Hata mkilipwa milima ya dhahabu kazi ya kutibu inahitaji ubinadamu zaidi kuliko pesa oops..
 
mawaziri wasipoondolewa madaktari tutakosa imani kwa wizara ya afya, na serikali kwa ujumla kwani iliahidi kufanya hivo kupitia waziri mkuu. Mawaziri wakiondolewa tutapata imani kwa serikali na pia tutapata nafasi ya kujadiliana na serikali juu ya kuimprove sekta ya afya na hivyo kuondoa vifo visivyo vya lazima kwa wagonjwa wetu kutokana na ukosefu wa vifaa na dawa muhimu, hivi unajua ni watu wangapi wanakufa kwa siku kwenye hospitali kubwa kama muhi2 kwa kukosekana adrenaline tu?4 ur info watu wanakufa daily kwa kukoseekana dawa muhimu bila hata ya mgomo
 
Rais hawezi kuwaondoa watendaji wake only kwa sababu madokta wanataka, akishamuondoa Nkya na Mponda watataka amuache na mama Salma Kikwete.
Mkuu usemalo ni kweli kabisa usemayo. Mwanzoni serikali ilitoa uamuzi wa kiserikali ambao nilidhani ulikuwa uamuzi thabiti lakini baadaye serikali ika yield na PM akawasimamisha akina Nyoni kutekeleza matakwa ya Madaktari. PM Akasema ya Waziri na Naibu amemwachia Rais awashughulikie, hapo ndipo serikali ilipoingia mtegoni. PM angesema tunawasimamisha hawa lakini viongozi wa kisiasa waachwe ili kuwe na win win situation lakini ikaonekana kana kwamba serikali imekubali kila kitu!
 
Mkuu samahano, sekta ya afya hapa nchini ilikuwa imara lini na ilianza kudorora lini?
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…