Hizo ndo zinakuwaje mkuu?
kama unatumia NOKIA,its aplikabo,ipo kwenye sehemu ya msg,imeandikwa hvyohvyo'FLASH MESEJ'
Hizo ndo zinakuwaje mkuu?
Huu uzi unanikumbusha nilipovunja ndoa yangu,mimi nilichukua simu ya mke wng nikabadili jina lilikuwa limeandikwa mjomba,nikaweka namba yngu nayo ijua mimi ila wife haijui,nikakaa kama siku 2 hivi,siku ya 3 nikiwa job nikaweka ile line nikabeep wife,mara napokea msg vp mpenzi mbona hupatikani kwenye simu?najuzi nimekuja mitaa yenu nakupigia hupatikani,huwezi amini nilichat na wife msg kama 30 hivi kabla yeye hajastuka,mpk hapo nilishajua ushenzi wote nikavunja na ndoa leo mwaka wa 4 lakini huwa nikikumbuka mpk nahisi kusisimuka,hawa viumbe hawafai hata robo!msg ni risk kubwa sana,hata tulipokuja wekwa kwenye kikao cha family ilibidi nitoe ushahidi watu wote waliridhika na ushahidi wangu pale'
Mie juzi tu kuna demu kaniambia yupo single 99% na akanitajia sehemu anayokaa na yuko bombaa vibaya mpaka nkachanganyikiwa yaliyoendelea najua mwenyewe....
Hii kali mkuu!
Alafu ukute siku hii ndio ile wife alikuaga anaenda kumuangalia mama yake mzazi ni mgonjwa....! kumbe mambo juukwaju.
Unapaswa kufanyakaz kwa DPP wewe
Mkuu wewe acha tu maana alikuwa busy sana na simu nikaona isiwe tabu nilifuta tu ile namba nikaweka yangu jina nikaacha mjomba,sio rahisi yeye mara 1 kustukia basi ndio ikawa hivyo!
Tongoza kwa kutumia flash msg tu,,no ushahidi.
Bajabiri hiyo akili mpaka leo sijui ilitoka wapi nasitakuja tena kuifanya maana bora usijue ukae hvhv tu'
dah,ulipoweka mjomba,ulimuanzaje?
Tatizo siku hizi kila mwanamke ukimuapproach atakuambia ana mtu wake, hata kama hana... Ukisubiri uambiwe niko singo utachakaa...
mkuu,inafanyaje kazi hiyo application ya 'flash messagel?kama unatumia NOKIA,its aplikabo,ipo kwenye sehemu ya msg,imeandikwa hvyohvyo'FLASH MESEJ'
Utingo,hapa town hakuna asiye na mwenyewe,tunabanana hivo hivo!by the way inakuwa utongoze mke au mchumba wa mtu? si kujitakiwa matatizo tu?
ndugu yangu wako akiwa ndani,akitoka.......Mkuu!
Naona kama unawapa mbinu wazinzi! kwamba hii stahili ina madhara wafanye ingine.
Lakini yote tisa kumi uzinzi ni noma, kwa nini usitulie na wako...?
flash message inafanyaje kazi? Nifundishe kuitumia aisee,i bloody need to know this technology kabla sijauawa maana wake za watu kuacha siwezi.Tongoza kwa kutumia flash msg tu,,no ushahidi.
how does it work?Flash msg mchina nyingi hawana hii kitu, naona ni nokia org tu, na bahadhi ya simu.
Nilitoka kwenda job ilipofika usiku nipo job,nikambeep tu,baada kama dk 5 yeye akareplay sms vp mpenzi?najua unauliza sana ili na wewe ukafanye,shauri yako'mimi hata baba yangu nlipokuja kumpa ushahidi alinitazama sana akaniambia wewe una roho ngumu kuliko mimi baba yako'najua wapo humu wamepata njia ya kuwakamata wapenzi wao shauri yenu
huu ndo mpango mzima..tena ile inafika tu kwenye inboxs inafunguka yenyewe....akizubaa inapotea hahahaaaa naipendaga sana
epuka kuchunguza chunguza mke wako labda kama umeyachoka maisha ya ndoa.Nilitoka kwenda job ilipofika usiku nipo job,nikambeep tu,baada kama dk 5 yeye akareplay sms vp mpenzi?najua unauliza sana ili na wewe ukafanye,shauri yako'mimi hata baba yangu nlipokuja kumpa ushahidi alinitazama sana akaniambia wewe una roho ngumu kuliko mimi baba yako'najua wapo humu wamepata njia ya kuwakamata wapenzi wao shauri yenu