Epuka kufanya mambo haya kwenye simu yako

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Apr 28, 2020
445
754
Epuka kufanya mambo haya kwenye simu yako

Habari , leo ningependa kushare nanyi kitu hiki muhimu kuhusu simu zetu tunafahamu simu zetu zinatumika katika shughuli nyingi tu za kujipatia kipato kuburudika na hata kufanya mawasiliano kila sku za maisha yetu.

Leo ngoja niwaeleze jambo muhimu zaidi kuhusu simu zetu tunafahamu kila siku teknolojia inakua kwa kasi sana yaani watu wanatengeza vitu vipya kila siku na kuumiza vichwa lakini ngoja niwambie japo la epuka kwenye simu yako kufanya.

tafadhali jiepushe na tabia hizi 5 au vitu hivi ili kupata salama kwenye kifaa chako.

1 Epuka ku charge simu yako pale tu utakapokuwa umetoka kuichezea (games, apps nk ) na hivyo iache hipoe kidogo kisha weka charge

2 Epuka kutumia programu bandia ya kuokoa betri (battery save life) ya simu yako na programu ya kupambana na virusi kulinda kwenye simu yako.

3. Epuka ku delete(kufuta) folder la Android folder kwenye simu yako kwani data zako zote huifadhiwa huko

4 kwa usalama zaidi epuka ku download app na games kupitia web store ( website za nje )kupitia google ya kawaida pendelea sana kutumia app kutoka kwenye Google play store au app store kwa watu wa Iphone kwa usalama wa simu yako.

5 Epuka ku root simu yako kwani upelekea kuhalibu na kuiua kwa simu yako.japokua ku root kuna Raha yake simu inakua ya kipekee lakini Epuka kupendelea sana ku root simu.

UNAWEZA kututajia na wewe Kwenye simu zetu za android Tuepuke kufanya nini maana kuna mambo mengi ya kuepuka

Share kwa wengine wajifunze

Instagram
Login • Instagram

#Blessed All
IMG_20201021_143935_456.jpg
 
"Epuka kuroot simu yako" ... sidhani kama ulichoandika unakifahamu
Nimeshangaa sana wakati wengine sisi kumiliki simu bila kuroot ni sawa na kua na manzi asie na chura na tits yaani yuko flat kama kapigwa banzi, N'way kila mtu na mtazamo wake...
 
Unafurahisha sana yaan hamna hata kimoja cha maana ulichoongea i will explain below
1. kuroot simu ni illegal lkn not crime labda km utabadili IMEI number ya simu kuroot simu ni very fun km una utaalamu no very easy uzur wa kuroot cmu kwanza unaongeza feature nying kwenye cmu pili unaiboost memory ya simu tatizo linakuja tu km hardware hazipo kwenye simu mfano umeiroot cmu kutumia android version ambayo inafinger print na kwenye cmu yke hamna finger print bored bt not danger

Mengine ulioongea ni ujinga kabisa eti simu ikicheza game ucicharge kisa ya moto unajua kitu kanaitwa PROCESSOR hv kifaa kimetengenezwa na transistor na heat lazimaiwepo taka uctake ili kuicool io processor huea wanaweka plastic juu yke kwenye cmu ila kwenye pc wanaweka feni
Kuhusu battery saver hii application kaz yke n kuondoa baadh ya feature za cmu zinazokuka charge

Kitu cha hatar kwenye cmu ni kimoha tu radiation na huwez kuzizuia utake uctake

Case closed
 
Vingi sana

Unaweza install app za kufanya customization
Kuondoa apps zilizokuja na simu

Kuweka custom rom (utam huu)
Ku unlock network
Audio mods kama viper, james dsp
Ku tweak battery performance

Mambo ni meng sana..



Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Ni vingi kweli,..

*Unaweza change miito ya simu kama ni tecno unaifulia mbali unaweka ya Samsung...

*Unaweza change boot animation ukaweka ya simu nyingi au ya jina lako...

*Unaweza tweak na change network name & id kama ni voda ikasoma mitandao ya US Varizon au Spirit..

*Rooted device inadhibiti ads kwenye apps mbali mbali unaweza tumia adaway au lucky patcher (hii pia inaweza fanya in app-purchases)...

*Kama umeroot unaweza backup Stock ROM yako yote yaani full backup bila kutumia computer/box, Na una uhuru wa kubadili custom roms muda wowote unaotaka zinazoendana na simu yako..

*Unaweza kuzifanya downloaded apps kua system apps na mengine mengi sanaaaaa mpaka nmesahau!

..............Kuroot simu raha sana hasa kupiga custom rom ni very funny!
 
nilikuwaga na kitecno s3 sofware yake haiko stable nika root nikawa nakawa nakarun na app zingine za play store.
nilawa super user.
 
Vingi sana

Unaweza install app za kufanya customization
Kuondoa apps zilizokuja na simu

Kuweka custom rom (utam huu)
Ku unlock network
Audio mods kama viper, james dsp
Ku tweak battery performance

Mambo ni meng sana..



Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Ndugu nina kasmart kitochi ka vodacom 4G sasa tangu juzi kanakataaa kuconnect kwa pc au simu nyingne kwa kutumia tethering hotsport yaani kanaconnect vizuri ila ukija kufungua data haziprocesses kutoka kwa kasmart kitochi mpaka kwa pc au smart ya kawaida
Inshort ukifungua pc upande wa web inaandika no internet connection ilhali data kwa smart kitochi zipo on
 
Sasa hiyo inakusaidia nini?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Notification panel iwe kubwa na ziwe zinajaa na unaziona zote.. Yaani unapunguza tu baadhi ya vitu kupendezesha simu.. Mfano mimi kuna icons muhimu tu network bar na saa basi.. Bettery icon sioni haja ya kua hapo sabu huwa naona asilimia kwenye widget ya launcher yangu..
Screenshot_20201021-165526.jpg



Tofauti na hii yenye icons nyingi za simu kwenye panel mpaka kero

View attachment 1607417
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom