Epuka haya kipindi hiki

Epuka haya kipindi hiki

heartbeats

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2014
Posts
8,019
Reaction score
13,266
Poleni kwa misiba,
Hopefully mko njema kabisa nilipost humu uzi siku kabla ya maandamano uzi ulikuw wazi sana kuhusu mbinu za maandamano nikasema watatumia human shield kama mbinu yao ya kuzibiti maandamano uzi ukafutwa ila mambo niliyozungumza yote yalifanyika.

Enewi twende na muda nafikiri mmesikia waliokuwa katk maandamano si watanzania najuwa hili huleta ukakasi sana mioyoni kwa watu

Epuka mjadala wa kubishana na yoyote kwamba walioandamana sio watanzania epuka sana maana ni mtego dhahiri

Tambua tu kwanza waliokufa ni binadamu haijalishi ni wa nchi gani

Mtu akianza zungumza usichangie mada ,

Maandamano yamefanywa na watanzania ,vijana walioiba mali ni vijana wa mitaani wanajulikana na baadhi umewaona ila kamwe usijaribu kuwa shahidi acha wakamatwe wenyewe

Hatua inayofuata ni kufanya Neutralise na safe removal watu watapotea kimya kimya
Wale waliofanya matukio mkanaswa na camera hakikisha una save that location disappear kabisa, mjulishe na ndugu au rafiki

Kazi iliyobakia ni kuwatafuta watu na kuwaangushia jumba bovu

Epuka hasira najuwa tupo na hasira ila jaribu kuzicontrol kwa sasa

Watakuja kusema ooh wanadamanaji hawakuwa na mabango mara hawakuandamana kwa amani all is bullshit mngeandamana kwa amani au kwa vurugu NJIA ILIYOKUWA IMEPANGWA NI MOJA TU
Gather those scape goat and slaughtering no mercifully

Vita mmepambana hawakutarajia kuua wengi hivi ila ilibidi muuaji mmoja anasema kwa lugha ya kigeni i saw they were coming as zombies no fear of gun,

Epuka kupokea namba ngeni zenye maelezo mengi,mtu usiemjua anaejifanya yupo upande wako

Vitaanzisha vikundi feki venye silaha vikijifanya wapigania haki kamwe usiingie katika mtego

Mapambano yetu yameisha ujumbe umetumwa tutajipanga upya kwa sasa tuzike waliotangulia tujipange upya
 
Poleni kwa misiba,
Hopefully mko njema kabisa nilipost humu uzi siku kabla ya maandamano uzi ulikuw wazi sana kuhusu mbinu za maandamano nikasema watatumia human shield kama mbinu yao ya kuzibiti maandamano uzi ukafutwa ila mambo niliyozungumza yote yalifanyika.

Enewi twende na muda nafikiri mmesikia waliokuwa katk maandamano si watanzania najuwa hili huleta ukakasi sana mioyoni kwa watu

Epuka mjadala wa kubishana na yoyote kwamba walioandamana sio watanzania epuka sana maana ni mtego dhahiri

Tambua tu kwanza waliokufa ni binadamu haijalishi ni wa nchi gani

Mtu akianza zungumza usichangie mada ,

Maandamano yamefanywa na watanzania ,vijana walioiba mali ni vijana wa mitaani wanajulikana na baadhi umewaona ila kamwe usijaribu kuwa shahidi acha wakamatwe wenyewe

Hatua inayofuata ni kufanya Neutralise na safe removal watu watapotea kimya kimya
Wale waliofanya matukio mkanaswa na camera hakikisha una save that location disappear kabisa, mjulishe na ndugu au rafiki

Kazi iliyobakia ni kuwatafuta watu na kuwaangushia jumba bovu

Epuka hasira najuwa tupo na hasira ila jaribu kuzicontrol kwa sasa



Epuka kupokea namba ngeni zenye maelezo mengi,mtu usiemjua anaejifanya yupo upande wako

Vitaanzisha vikundi feki venye silaha vikijifanya wapigania haki kamwe usiingie katika mtego

Mapambano yetu yameisha ujumbe umetumwa tutajipanga upya kwa sasa tuzike waliotangulia tujipange upya
Acha kutisha watu,hii mbinu ilitumika kuwapumbaza watu wa maandamano,kilichotokea tumekiona,utaachaje kusema waliouwa ni watanzania wakati misiba iko kwa ndugu ,jamaa na marafiki!?

Tutasema na tutasema no matter what.acha kutia hofu watu kwa hoja za kujiunga.

Nisamehe kama nimekuudhi
 
Acha kutisha watu,hii mbinu ilitumika kuwapumbaza watu wa maandamano,kilichotokea tumekiona,utaachaje kusema waliouwa ni watanzania wakati misiba iko kwa ndugu ,jamaa na marafiki!?

Tutasema na tutasema no matter what.acha kutia hofu watu kwa hoja za kujiunga.

Nisamehe kama nimekuudhi
Haujaniudhi na wala sio kutisha watu nimetoa tu tahadhari mnazungukwa na watu tofauti atakuja mtu atakuanzishia mada inajulikana walioptesha maisha ni ndugu zetu ila atakuja tu kukupinga na kukutia hasira utaanza kuropoka nilikuwapo nikamuona fulani anapigwa shaba etc ukajikuta ktk shida
 
Unatisha nani? Maelfu wameenda then niendelee kuogopa?
Just know they have made most of us more radical!
Shut up and read the room QLMY
Kwa wakati huu kila mtu amerudi nyuma inabidi kuugulia na kujua unasurvive vipi kujiandaa na next round adui bado yupo ,nimetoa taarifa tu stay low key kwa wakati huu wala usivunjike moyo sote tunatarajia kukutana next round tukiwa full
 
Kwa wanao mdharau mtoa mada hawajui zaidi ulimwengu unavyokwenda

Wamerakani walitumia mbinu hii kuwakamata watu ambo walikuwa tayar kushirikiana na magaidi, anakuja mtu kijiweni anakwambia wamarekani wanazingua bora tujiunge na OSAMA au TALIBAN tuwanyoshe wamerakani

Kumbe mwamba katumwa baadae unashangaa mnakamatwa kama kondoo
 
Watapotea kimya kimya.na hakuna kupelekwa mahakamani
 
Back
Top Bottom