Jicho la Tai
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 1,449
- 574
Sion anachokiimba, au ameloga apate mil 50? manake naona kama majaji wamepigwa ganzi. japo salama amechana live kuwa haelewi anachoimba.
Akishinda ntajua KALOGA
Akishinda ntajua KALOGA
Kaloge na wewe ili avume unayemtaka.
inaonekana hata ukijikwaa tu unakimbilia kwa wagangaSion anachokiimba, au ameloga apate mil 50? manake naona kama majaji wamepigwa ganzi. japo salama amechana live kuwa haelewi anachoimba.
Akishinda ntajua KALOGA
inaonekana hata ukijikwaa tu unakimbilia kwa waganga
povuuuuuuuuuuuuuuuuuNdo manaake. Tena huwa naenda kwa waganga wa hospitali ya Muhimbili.
SIJUI WE UNAETUMIA MITI SHAMBA YA WAGANGA WA KIENYEJI
Mungu awatangulie wote na matokeo yaje hivi
1. Walter
2. Nsami
3. Salma
4. Nshoma
5. Wababa
Dogo bahati yake nyota inang'aa tu yule.Sio kuloga bana.