Kusema ukweli tangu nianze kuangalia haya mashindano ( kwa wiki mbili tu sasa) nakubali kipaji cha huyu WALTER!! kweli ni muimbaji ambaye anaweza kumtia mtu hisia na kumuweka mshabiki majaribuni!! Namtabiria makubwa kama atatulia hivi alivyo na apewe ushauri mzuri atafika mbali....KWANGU... HUYU NDIYE STAR WA MIAKA YOTE TANGU BSS IANZISHWE!!
Yote kwa yote haya mashindano yamepoteza mvuto Mf mtu anakuwaje Star kwa ku copy kuimba nyimbo za watu wengine washiriki wapewe nafasi ya kuonyesha vipaji vyao kwa kuonyesha nyimbo zao ndio maana mshindi anavuma kwa wiki tuu anatoweka milele
kwani fainal lini wakuu?
Mungu awatangulie wote na matokeo yaje hivi
1. Walter
2. Nsami
3. Salma
4. Nshoma
5. Wababa
Kwa hiyo nawe unataka kuroga ili matokeo yawe hivyo? Mimi huyo Salma ndio namsikiaga anajiumauma tu na sauti yake inayokwaruza.
Na yeye kwa kuiga iga nyimbo mpaka karolite kama Nepii...anabebwaaaaa!!Dogo bahati yake nyota inang'aa tu yule.Sio kuloga bana.
Ni yule mgogo wa dodoma na yule binti wa mipasho...khaa!!Kanakata viuno balaa.fainali wiki hi diamond. Hv nan karocharocha? Nijuzen
Ni yule mgogo wa dodoma na yule binti wa mipasho...khaa!!Kanakata viuno balaa.
Piga kura mkuu!Na iwe hivyo!!!
Umempigia kura?Mwaka huu ushindi unaenda Zanzibar..mtake msitake ushindi anapata yule dada wa Zanzibar.mshindi no 2 atakuwa Nsami,Wababa,Nshoma na Walter.....stay tuned!
Muongezee ushindikwa kweli kwa sisi wataalamu pale kuna wanamziki wawili tu, walter na salma baaaaaasi hawa wengine giza tupu,
Tupia hata ka meseji kamoja ushindi uongezekeMshiriki wa Zanzibar ni entertainer wa ukweli.
Ndo hapo wabongo tunasubiri mshindi wakati kura hatupigiBadala ya kupiga kura mnakazana mshindi fulani,
Malizia mkuu Hunijui sikujui!!!kasingekuwa kafupi kange....