Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 637
He kumbe imebadilika me najua mshindi alishasemwa kitambo tangu inaanza ni salma wa zenji sababu mzigo ni wa zantel na zanzibar hawajawahi kupata tangu ianze
Tusubiri ijumaa,japo me siamini sana wanachokifanya kukopi wimbo wa mtu ni easy ila kutengeneza melody yako na kuitumia ndio ishu wababa yule ni intertainer anacheza anaimba na anakufanya umuangalie ndio maana anapita na wengine ni wanaimba ili sauti zao zisikike na wasikosee
All in all wote ni washindi na makopicat wazuri
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
mule mule nami ulikuwa mtazamo wngu!