View attachment 25699Kipindi hiki nilikuwa sijui bei ya sukari, nauli au mafuta kama imepanda ilikuwa ni fulll shangwe! natamani maisha haya yarudi, so natural sasa hivi u-feck mwingi a.k.a uchina au uchakachuaji
ni kweli enzi hizo hamkujua kama kuna foleni ya ubungo wala mabomu ya 1971!...mi nlikuwa cjazaliwa bado nafahamu tu niliikuta sh.200 ya karatasi ............😛anda: