Disco letu lilikuwa poa la enzi za santuri na suruali za bugaluu na viztu vya laizoni
Sina picha maana kumpata mpiga picha ni safari ndefu kweli na hivyo picha yangu ipo kwenye scaner yangu ya ubongo kichwani mwangu na kwa aliye nitazama
Kama umeukata ukaenda mtoni unarudi na "gurue" pegeout 504 sasa hivi ni kama vogue
Movies zetu zilkua 'Three the dardway' Jimy kelly Jim brouwn and Fred williamson.au 'One silver doller saved my life'.etc,
Story books zetu zilikua novel za James hardly chase, Sucker punch, Just another sucker, novel kama Papilon au 'The God Father' capo di tuti capi
Enzi za ujima zilikuwa na raha yake bana
Hapo unahama mtaa kwa ajili ya kipiga picha na gari ya mzee fulani, au unafuata habari ka keshi yake sikukuu ili usiende shule kwa sababu mtaa mzima radio moja ...lol!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.