Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,105
- 18,005
Kwel kabsa,kwenye mechi wengne wanavua wengne mashat meupe.Mwl D.kawa alpenda kutuita weusi ksa kuna weupe( mashat na tuliovua ndo weusi)Ilikua ni kawaida kucheza mpira na nguo zako za Shule halafu kesho yake hizo hizo nguo unaingia nazo darasani bila kuzifua!
Nitafutiee... Hanoi
Hapo namkumbuka Mwl M.maugo drs la NNE alkuwa na kauli mbiu operation table&watoro. Anakuja na bakora kumi mkononi akiondoka hana hata moja.alkuwa anasurubu balaa,ngoma table ya 9 ilkuwa inanipa san majeraha.1988Enzi zetu mwalimu wa hesabu akiingia lazima kuimba orodha ya kuzidisha yote, tulikuwa tunaiita 'hesabu za mara' sasa usiombe ikakukuta ya saba, ingawa kuliwa na wenye uwezo wa kuitandika yote bila hata kusita, hawa walikaa madawati ya mbele siku zote.
Ndiyo hivyo mkuuAsante sana mleta mada,huu uzi ni burudani tosha kabisa japo unafikirisha na kusikitisha kiasi fulani kuona umri umesonga kiasi..!!
Km tulkuwa wote,unanikumbusha michezo ya drs la 5. Mji wa antananalvo ulnitesa sana kuutafuta hadi Leo nakumbuja,nililazmika kuazma Atlas ckulala hadi nlpo upata.( Madagascar)Nakumbuka tulikua tunachukua Atlas na kutafuta ramani mojawapo kisha tunacheza mchezo wa kutafuta,
Yaani unachagua jina la nchi au mji kwenye hiyo ramani kisha umamwambia mwenzio;
"Nionyeshe mji fulani uko wapi?"
Hii ilitujenga sana kujua miji na nchi za dunia nzima,
Kitambo sana.
Pamoja sanaHapo No 6, kuna pichu zilikua zinaitwa VIP na viatu vya safari buti na hivyo vya ngozi ya mbwa jina limenitoka, goshiii. kweli ya kale ni dhahabu aise; mkuu umenikumbusha mbali sana.
aaaaaahhhhaaaaahhhKulikua kuna ile style ya kuwawekea watoto wa kike kioo chini ya miguu yao ili uone rangi ya Kyupi aliyoivaa!
Huo mtihan wa mock kuuckia Mara ya kwanza walim wakiuongelea ilkuwa umitashumta kufika shulen nikawambia wenzang mwez wa saba kuna mtihani wa moka.wakanishangaa kumbe moka ni viatu. Wala haukuja zaidi ya kupga pepa ya kata.kumbe walfanya watoto wa town... Duh tumetoka mbali.MTU anakuwa wa kwanza ktk kata national ikja hayumo!!!!Enzi zetu shule za mjini walifanya mitihani ya MOCK, kijijini tulifanya MITIHANI YA KATA.
Hatari hii.Kuna shule ya msingi moja ilikuwa kazi ni kuwatumikisha wanafunzi kama vibarua katika mashamba ya wanakijiji. Mwanzoni tulikuwa tunakwenda huko mashambani kulima mchana/jioni baada ya masomo. Baada ya hela kukolea, kukaanza kwenda saa za asubuhi. Kuna wakati tulikuwa tunaambiwa kuwa kesho asubuhi msije shuleni hapa, tuonane kwenye shamba la mzee fulani ambalo liko sehemu fulani na majembe yenu.
Hiyo ya kivuli cha bati namkumbuka mashimba William yy alkuwa anaenda kugonga kengele bila kuwa na SAA mlad kivul kmefika 12:20 kumbe majra hubadlka kla baada ya miez 3. Kuna cku algonga SAA 5 tukatoka nje talyo jiri Mwl wa zamu anakumbuka...ilkuwa sooDaaah! nimekumbuka mbali sana nimeishia kucheka,darasani hatukua na saa tuliweka alama ya kivuli cha bati kwamba kivuli kikiwa hapa basi ni break time mnajianda kusikia kengere unakimbia nyumbani kuwahi kiporo cha jana halafu unarudi shule
Maisha hayakua na classes tulipendana sana,waliosoma kipindi hicho tunaita shule za kulipia ni wale vilaza waliofail std 7
Kula like zangu mkuu17. Kwenda shule na kidumu cha maji na mzigo wa kuni
18. Kufagia choo na darasa kwa zamu
19. Kupewa kiunga na mti wa kuumwagilia
20. ukaguzi wa usafi kila Jumatatu na Jumatano
21. Mtihani wa mwisho wa darasa la saba walimu wanoko na monta lazima achezee makofi.
22. kuweka kioo chini ya sketi za wanawake ujue kavaa chupi ya rangi gani
23...
Nilikuwa naweza ya pili na ya tano basi,Ya 9 mkuu..nalikua naiogopa xana yan