Cham Bee
JF-Expert Member
- Feb 10, 2015
- 3,516
- 1,856
Sky way zipo mikononiDah, hapo nimekumbuka mbali sana, yaani ndala zimeshawekwa tayari kwa kutoka nduki, alafu umechongwanishwa upigane na mbabe na kila ukitaka kukimbia wenzio wanakudaka na kukurudisha
Kwa hiyo picha hapo kulikuwa hakuna kuputa, dogo hamuwezi anayepigana nae
