Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,641
- 47,664
- Thread starter
- #61
Nikiwa primary ndondo lilikuwa halipandi fresh. Yani wakipika ugali maharage ndio kabisaa hamu ya kula inakata.
Nikaja nikagundua kamchezo kakuweka sukari kwenye maharage. Nikitoka skul nachanganya sukari na maharage then ndio nakula. Sasa kuna siku nikiwa nishachanganya sukari na maharage,kumbe beki tatu alisahau kutenga mboga ya ucku. Kuja kucheki anakuta nimechota maharage mengi. Akanimind alaf akachukua bakuli yangu akaenda kupunguzia kwenye sufuria.
Kimbembe ilikuwa usiku wakati wa kula,dingi kamind kwenye chakula kuna sukari. Beki 3 anakataa anasema mchana walikula fresh tu jioni kafanya kuipasha tu hajaongeza kitu. Badae yule beki 3 alikuja kuusoma mchezo akanichoma pale pale. Uzuri wa dingi hanaga michongo ya kalete bakora,yeye huwa anatoa makofi kadhaa ya ghafla alafu shughuli zinaendelea
Nikaja nikagundua kamchezo kakuweka sukari kwenye maharage. Nikitoka skul nachanganya sukari na maharage then ndio nakula. Sasa kuna siku nikiwa nishachanganya sukari na maharage,kumbe beki tatu alisahau kutenga mboga ya ucku. Kuja kucheki anakuta nimechota maharage mengi. Akanimind alaf akachukua bakuli yangu akaenda kupunguzia kwenye sufuria.
Kimbembe ilikuwa usiku wakati wa kula,dingi kamind kwenye chakula kuna sukari. Beki 3 anakataa anasema mchana walikula fresh tu jioni kafanya kuipasha tu hajaongeza kitu. Badae yule beki 3 alikuja kuusoma mchezo akanichoma pale pale. Uzuri wa dingi hanaga michongo ya kalete bakora,yeye huwa anatoa makofi kadhaa ya ghafla alafu shughuli zinaendelea

asanteeeee kwa kulijua hili. I was in love na hili jina na lingine Lindiwe.