Tatizoo ni kuwa umeshazeeka,hupati tena nafasi uliyokuwa unaipata ulipokuwa kijana hujapata heshima yoyote kwa sababu ya kiwango chako duni,Kafundisheni na maslia mwenzako,mwenzio anaenda kufundisha chuo ila kilaza kama wewe kafie shule za sinti kayumba huko.
Hujui chama cha prezooo na maslia mwenzio mpaka sasa? You must be kidding!
ACT=Alliance Charter for Traitors like you au ATC=Alliance for Traitors and Charity.Kipi kinakufaa?
Naona ulitaka tuone picha yako!
Ujumbe gani, sana sana yeye mleta ujumbe ndo ana maumivu makali. Alifikiri kufanya kazi chamani ni kupata hela bwelele bila kufanya kazi. Mwambie aende ACT.
hakuna kinachonifaa,,nitajie vingine,,,,,,
upuuzi huu upo chadema na ccm tu,,,NA BADO.
Unaweka kabisa na namba za simu iliwakutafute upewe kamkate uzidi kuishi ? You are simply empty headed haiwezekani wewe ukawa huna maisha kila siku ni chadema tu . Get something to get your life rolling bro . Mwenzako Sixgate kesha ukwaa u 300,000 kwa siku .Kimya wewe bado upo na njaa zako JF .Anzisha Chama chako au ingia CCM shiriki siasa huko lakini kwa njaa hizi I doubt kama unaweza kuwaza bila tumbo .Pole sana .
Paka wana lialia,
Jikoni wamejilalia,
Nchi ingejipatia,
Nguvu nilizojitolea,
Ajabu najionea.
Ajabu najionea,
Wachache wajijengea,
Ngome za kujilindia,
Viti walivyo kalia,
Mafurushi wajilia.
Mafurushi wajilia,
Bila haya nawambia,
Tena wanasingizia,
Gharama walizingia,
Risiti wa'zi chezea.
Huyu jamaa atakuwa kaolewa na mwigulu.............awaulize akina shonza na mwenzake wako wapi. Saaizi wanafua nguo za nape. Ila ukweli mi9jitu mingine bana, unawenza ukaamka asubuhi ukamshauri mtu ahamie ccm kweli km unaakili sawasawa? Rujajibu kufikiri kwa kutumia kichwa
Mkuu misukule ya Lumumba imekupa big up halafu unawashushua?upuuzi huu upo chadema na ccm tu,,,NA BADO.
ma'ccm kwa kurubuni hamjambo, mnanunua skafu za chadema halafu mnapiga picha nazo ili mjifanye mlikuwa chadema? wendawazimu tu nyinyi, hata mm naweza kuvaa migwanda yenu ya kijani na nikapiga picha kasha najifanya nilikuwa ccm, najua mnaogopa kuchweka mtaani na mavazi ya kijani sasa mnabuni mbinu mpya ya kuvaa sare za chama, nyambafu kabisa.
achia na wengine wapost
ma'ccm kwa kurubuni hamjambo, mnanunua skafu za chadema halafu mnapiga picha nazo ili mjifanye mlikuwa chadema? wendawazimu tu nyinyi, hata mm naweza kuvaa migwanda yenu ya kijani na nikapiga picha kasha najifanya nilikuwa ccm, najua mnaogopa kuchweka mtaani na mavazi ya kijani sasa mnabuni mbinu mpya ya kuvaa sare za chama, nyambafu kabisa.
wee boya kwani zitto si alikuwa naibu katibu mkuu wa chadema huku akitumikia ccm? huyo ni kamanda wenu na mission imeshafeli, kuna na wengine madiwani wa chadema shinyanga mtakutana nao huko, jana ma'ccm mmeshawahonga wajiudhuru, goodluck5 = njano5 mbon mnapenda sana hii namba 5?ama kwel ukipenda kipofu utaita chongo....yaani umewekewa hadi picha ya 'aliyekuwa' kamanda lakini bado unabaki kusema alikuwa gamba?!
by the way hata mada za Njano5 za mwanzoni zinathibitisha hivyo, sumbua kichwa kdg usikariri tu kama kasuku!!
wee boya kwani zitto si alikuwa naibu katibu mkuu wa chadema huku akitumikia ccm? huyo ni kamanda wenu na mission imeshafeli, kuna na wengine madiwani wa chadema shinyanga mtakutana nao huko, jana ma'ccm mmeshawahonga wajiudhuru, goodluck5 = njano5 mbon mnapenda sana hii namba 5?