SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,244
- 4,258
Tausi, Mambo Hayo etc.Zlisumbuaga sana hizi.Hiyo ni Jumamosi marudio ya michezo ya magaizo....
Tausi, Mambo Hayo etc.Zlisumbuaga sana hizi.Hiyo ni Jumamosi marudio ya michezo ya magaizo....
Ni kweli, nawaona mutisya mutambu, lyinga, Victoire, miss neddy
na huyo wa nne sijui atakuwa nani, ngoja nikumbuke vizuri...
Oooh!!! Unanikumbusha siku moja tulimwagiwa maji ya sabuni yaliyooshewa vyombo....
Hayo maji yalikunufaisha sana, naona ulivyo mrembo hivi sasa!
Nakwambia mpaka TV zilipewa jina la ITV
Tausi, Mambo Hayo etc.Zlisumbuaga sana hizi.
akina-juma wamenunua ITV. hahahah!!