Enzi hizo...

katoto kazuri

JF-Expert Member
Feb 10, 2018
6,083
5,659
Nakumbuka enzi hizo nilikuwa nateseka kupata mtu halafu nakashifiwa na sio mimi tu baadhi ya wadada humu ila nikija fikiria nilikuwa napigana humu ndani kama napigania uhuru haswa sijajua kama nini nimeonaga humu

Nikiwazaga nachekaga sana hivi mkumbuke enzi hizo mlipokuwa mnatafuta ubavu wenu wa moyo ni vikwazo gani mlipitia mpaka mkakamilisha safari yenu?
 
na ambao hatuna hata ubavu wa kulia ukiachana na wa kushoto tu comment hapa hapa ?
 
Hongera sana katoto kazuri.
Mungu akutangulie katika maisha yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom