kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,079
- 10,387
Kwa unyenyekevu. Ila kwa sasa hata ukipewa uenyekiti wa nchi za kusini mwa jangwa sijui la wapi watu hawakuheshimu na wewe kwa kutokuheshimika hutoI tamko hata kama kuna xenophobia
Sijui hebu weka hapa hizo jitihada ambazo zinazidi angalau kwa 20% jitihada za buhariToa wewe tamko,unadhani kila kitu ni matamko?
Mlizoea matamko,siku hizi ni vitendo tu.
Unajua jitihada kiasi gani hadi sasa zimechukuliwa?
Toa wewe tamko,unadhani kila kitu ni matamko?
Mlizoea matamko,siku hizi ni vitendo tu.
Unajua jitihada kiasi gani hadi sasa zimechukuliwa?
Huwa tunaonyeshwa mpaka drama za mtu kusimamisha msafara wa rais(na wewe jaribu kuusimamisha) na ghafla bin vuu mtu huyo kuondoka na kitita cha milioni tano, hizo drama uchwara huwa zinafanyika jitihada ili zionekane ili Jiwe lisifiwe hivyo basi mambo constructive kama ya kufanya jitihada zozote kwenye kuonyesha kuguswa kwa namna yoyote ile na xenophobic killings lingekuwa live kwenye TVs(local channels) na magazeti kwa mbwembwe na bashasha yangeweka hilo jambo kwenye front pages ili kulifurahisha Jiwe.Toa wewe tamko,unadhani kila kitu ni matamko?
Mlizoea matamko,siku hizi ni vitendo tu.
Unajua jitihada kiasi gani hadi sasa zimechukuliwa?