Naona hii ni mitaa ya Ethiopia hivi. Lugha kama ya Ki-Amharic hivi kwa mbaali.
Hiyo ndiyo mila ya Kikwao na watoto wanatembea hivyo.
Mama zao pia wanaweka chuchu nje nje. Ni Wadhungu wanapenda sana na kuthamini Mtindi wakati weusi tunapenda sana kuthamini Kipengule. Utakuta Wathungu wameficha mtindi na huko kwingine Weusi mfaidi maana kwao siyo big deal. Na sisi mtindi siyo deal kabisa ila huko nyuma, hadi watu wanaongezea na Mchina kama siyo Silicons.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.