hii imenikumbusha mbali sana.....tulikuwa na housegirl mnoko sana....alikuwa ananisugua miguu na jiwe basi ananikwangua huyo......nilimchukia sana.......
1. Halafu unanyweshwa kidogo maji ya kuogea.......sijui maana yake
2.Mguuni unaguliwa na jiwe "laini" (siyaoni siku hizi)
3. Ole wako uwe na michubuko kwenye miguu kutokana na kucheza mpira halafu unakumbana na mama kauzu utakoma
4. Ukimaliza kuoga unakaushwa juani na kupakwa mafuta ya mamis na kuvishwa nguo ya mtumba
hii imenikumbusha mbali sana.....tulikuwa na housegirl mnoko sana....alikuwa ananisugua miguu na jiwe basi ananikwangua huyo......nilimchukia sana.......
Heri yako uliyekulia "angani"acha wenye uzoefu wa kusuguliwa na mawe tujikumbushe
Duu umenichekesha sana
Haya mambo ya kusugua binadamu na mawe ndiyo leo nayasikia kwenu. Kwa mimi nijuavyo ni terrazzo tu ndizo husuguliwa na mawe!!
na bahati mbaya huwa haurudi ila siku ingine usicheke hivyo waweza vimbiwa ati na andwers siku hizi hakuna.Mkuu tunatoka mbali,nakumbuka mdogo wangu kuoga ilikuwa ni mpaka wafukuzane na mama.Dah!Utoto una raha zake
ukimaliza unatumia mafuta ya rays