dudupori JF-Expert Member Jan 6, 2012 1,793 1,903 Jun 7, 2014 #2 Heeee,, wengine tulipikia vifuu vya nazi, watoto wengi wa cku hizi hawajui hii mambo
dfreym JF-Expert Member Oct 14, 2010 342 87 Jun 7, 2014 #3 Dah. Kweli dunia imebadilika. Siwaoni watoto wa siku hizi wakihanga ika na vitu kama hivi zao ni tv, game na ngumi.
Dah. Kweli dunia imebadilika. Siwaoni watoto wa siku hizi wakihanga ika na vitu kama hivi zao ni tv, game na ngumi.
King’asti Platinum Member Nov 26, 2009 27,823 24,786 Jun 7, 2014 #4 Kujipikilisha. Umenikumbusha mbali sana
ICHANA JF-Expert Member May 10, 2012 4,766 3,583 Jun 7, 2014 #5 Umenikumbusha mbali kukata maganda ya nyanya na chenga za mchele upo busy kupika
Honey Faith JF-Expert Member Aug 21, 2013 15,784 11,801 Jun 7, 2014 #6 Nimeungua sana vidole kisa kujipikilisha
Kertel JF-Expert Member May 11, 2012 5,270 4,975 Jun 7, 2014 #7 haya ndo mambo mkmaliza 2 mnacheza na kombolela wakat wakombolela kinaingia kibaba na mama mama
leonardo da vinc JF-Expert Member Apr 25, 2014 1,108 724 Jun 7, 2014 #8 Hasa mida ya jioni ilikuwa inapendeza!
M MAKAH JF-Expert Member Sep 27, 2010 1,582 265 Jun 8, 2014 #9 watoto hapo wanaonesha jinsi mume na mke wanavyoweza saidiana katika kazi za nyumbani -lakini wakikua sijui wapi wanapewa sumu ya kumuachia kazi zote mwanamke
watoto hapo wanaonesha jinsi mume na mke wanavyoweza saidiana katika kazi za nyumbani -lakini wakikua sijui wapi wanapewa sumu ya kumuachia kazi zote mwanamke
kisungu JF-Expert Member Feb 20, 2013 788 264 Jun 8, 2014 #10 Hao wanaonekana wana miaka kumi... Taifa kama hili ni bomu la kesho
Bishop Hiluka JF-Expert Member Aug 12, 2011 7,140 14,678 Jun 8, 2014 #11 Dah! Kitambo sana, hasa kwa sisi tuliokuwa na madada wakubwa kutuzidi, tulikuwa hatuchezi mbali na ubwabwa wa kwenye vifuu...
Dah! Kitambo sana, hasa kwa sisi tuliokuwa na madada wakubwa kutuzidi, tulikuwa hatuchezi mbali na ubwabwa wa kwenye vifuu...
alma gemela JF-Expert Member Feb 22, 2013 842 271 Jun 8, 2014 #12 Umenikumbusha mbali sana. Wavulana wanawinda ndege wasichana tunapika na vikopo vya nyanya au beef tunaenda kwa mangi kudokoa mchele. Watoto wa siku hizi hawapiki wao ni computer games na facebook
Umenikumbusha mbali sana. Wavulana wanawinda ndege wasichana tunapika na vikopo vya nyanya au beef tunaenda kwa mangi kudokoa mchele. Watoto wa siku hizi hawapiki wao ni computer games na facebook
F farkhina Platinum Member Mar 14, 2012 14,568 16,906 Jun 8, 2014 #14 Heee hao wanaopuliza wasipoangalia sufuria pindu lol Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
F farkhina Platinum Member Mar 14, 2012 14,568 16,906 Jun 8, 2014 #15 kadakokigondile said: Mchezo wa kujipilisha Click to expand... Tunaita kijungu nje Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
kadakokigondile said: Mchezo wa kujipilisha Click to expand... Tunaita kijungu nje Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
kadakokigondile JF-Expert Member May 17, 2013 1,872 634 Jun 8, 2014 #16 farkhina said: Tunaita kijungu nje Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums Click to expand... Kitambo saana maana mpaka nilishasahau na kama sikosei ilikua 1923
farkhina said: Tunaita kijungu nje Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums Click to expand... Kitambo saana maana mpaka nilishasahau na kama sikosei ilikua 1923
Sita Sita JF-Expert Member Aug 25, 2008 1,393 511 Jun 8, 2014 #17 niiice.... huko ndo tulijifunza kuwasha majiko ya kuni na mkaa. Playing and learning
Q Qsm JF-Expert Member Dec 11, 2008 445 251 Jun 9, 2014 #20 yaani tumekumbuka mbali sana! hawa dot.com ndo maana wengine wakiolewa tunarudishiwa tena kama miezi mitatu hivi ili wajifunze kupika! majanga!
yaani tumekumbuka mbali sana! hawa dot.com ndo maana wengine wakiolewa tunarudishiwa tena kama miezi mitatu hivi ili wajifunze kupika! majanga!