Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,027
- 144,381
Huu mchezo sio kabisa na hata kuita mchezo ni makosa kabisa. Watu wanaumizana huku wengine wanashangilia halafu eti unaitwa mchezo.
Najua ngumi ni biashara kubwa duniani na ni ajira kwa watu wengi ukiacha mabondia wenyewe, ila ukweli unabaki pale pale kuwa huu mchezo haufai kabisa.
Bahati mbaya na wanawake nao eti wanapigana kama tunavyoona muda huu kupitia Azam tv.
Hivi hata Mungu si hataki mambo haya?
Najua ngumi ni biashara kubwa duniani na ni ajira kwa watu wengi ukiacha mabondia wenyewe, ila ukweli unabaki pale pale kuwa huu mchezo haufai kabisa.
Bahati mbaya na wanawake nao eti wanapigana kama tunavyoona muda huu kupitia Azam tv.
Hivi hata Mungu si hataki mambo haya?