Maafisa Utumishi wengine vilaza kweli, sasa ukijaza likizo siku zako 14 si utafidia wakati wa likizo yako ya mwaka? kwa kawaida mwajiriwa anapoajiriwa huwa anapewa ruhusa (sio likizo) ya siku 14 ili akafunge mizigo na kisaha kuhamisha familia. kwa hiyo wewe ulioaswa kupewa ruhusa ya siku hizo,kama ndivyo ujue umeshapata nusu likizo.naanza tarh 27 dec 2012 nilipo ripoti nikashauriwa na afisa utumishi nijaze fom ya likizo ya wk 2 wakat nasubilia pesa yangu ya kujikim na chek no.
By the way Mtumishi yeyote haruhusiwi kupewa likizo kabla ya kufikisha miezi 8 kazini so wewe leave cycle yako itakuwa mwezi July/Agusti 2013