Entitlements za WEO II na watumishi wengine

Entitlements za WEO II na watumishi wengine

zethumb

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2010
Posts
610
Reaction score
137
Jamani naomba kuuliza maana nimekuwa kwenye msoto kwa takriban mwaka na ushee bila kazi ya kuaminika ila MUNGU wetu ni mwema SECRETARIAT wakaona ninafaa wakanipa kazi ya utendaji kata...Nawashukuru pia JF kwa kutupa moyo majobless kwa mda wote....

Hivyo basi; Nikiwa nimeajiriwa/place of recruitment ni Dar nimepelekwa RUNGWE Mbeya kama mtendaji ntalipwa nini na kwa kiasi gani kama mwajiriwa mpya?

Nawasilisha...:A S cry:
 
Mwanangu hingera sana, kikubwa hapo ni hiyo ajira mpya inayoeleweka mshahara tosheka nao tu maana huku mtaani noma.
 
Mwanangu hingera sana, kikubwa hapo ni hiyo ajira mpya inayoeleweka mshahara tosheka nao tu maana huku mtaani noma.

Asante ndugu yangu, ila si unajua jamaa wa halmashauri zetu walivyo nongwa wanaweza kula entitlement zetu huku sisi tukisota vijijin....
 
nahisi mshahara wa kawaida tu ila marupu tupu na takrima za hapa na pale basi si hapa hata kishamba kidogo utapata.
 
Subsistance allowance for 7days 65,000x7=
Transport No.of Km from Place of domicile/recruitment x 1000 x 3tone=
(please see standing order 2009 third edition) It was previously 14days subsistance allowance but it has been amended as above.
 
Subsistance allowance for 7days 65,000x7=
Transport No.of Km from Place of domicile/recruitment x 1000 x 3tone=
(please see standing order 2009 third edition) It was previously 14days subsistance allowance but it has been amended as above.

Thanks ndugu; hiyo standing order ninayo ofisini ila sijaona hiyo sehemu ya kilomitres na hiyo amount ie 1000 na hiyo 3 tonnes naona huku ni 5000 kilograms sasa nashindwa kuelewa exactly whats are the entitlements...
 
Basic salar 450,000/=
Sio kweli kama ni graduate anaanza na basic ya 511,000 katika TGS D. Back to the topic ni kwamba unastahili kulipwa nauli ya Dar hadi Rungwe (kwa rates za Sumatra na sio za mabasi), Unapewa subsistence allowance ya 35000/= kwa siku 7. Utapewa pia hela kwa ajili ya kusafirisha mizigo na familia (kama utafhibitisha kuwa una Mke/Mume na watoto/wategemezi. Kuhusu mizigo rates zake kwa graduates ni tani 3 mara idadi ya kilometa mara shilingi 1000/=. Utapata hela nyingi hasa ukizingatia Dar- Mbeya ni kilometa zaidi ya 800 na Tukuyu toka Mbeya ni kama kilometa 60 hivi.

Benefits zingine ni circumstantial, inategemeana na mahali ulipo, wewe kama Katibu wa Baraza la maendeleo ya Kata utakuwa ni viposho bila shaka. Ukiweza kukalia kiti sawasawa wale watendaji wengine kama Maendeleo ya jamii, Kilimo,Afya n.k utasahau kama wewe ni WEO. Aidha kuna posho ya extra duties au overtime, kuna vikao mbalimbali n.k
Hongera sana ila kama kazi hiyo ulipatia kupitia JF sio vibaya ukikumbuka kuchangia kidogo, onana na Invisible akupe utaratibu....
 
Thanks ndugu; hiyo standing order ninayo ofisini ila sijaona hiyo sehemu ya kilomitres na hiyo amount ie 1000 na hiyo 3 tonnes naona huku ni 5000 kilograms sasa nashindwa kuelewa exactly whats are the entitlements...
Kilo 5000 si ndio tani 5? Ilishafutwa hiyo sasa hivi ni tani 3 tu. Ila hoja ya 65,000 ni uzushi ilitenguliwa kwa tangazo la serikali namba 18 la Machi 2011
 
mshahara ni 511400 i am one of the selected weo ii. Nimeshajaza fomu za ajira nasubilia kupewa check no. Karibuni masasi wapendwa
 
Kilo 5000 si ndio tani 5? Ilishafutwa hiyo sasa hivi ni tani 3 tu. Ila hoja ya 65,000 ni uzushi ilitenguliwa kwa tangazo la serikali namba 18 la Machi 2011

Thanks Mkuu, kwa hiyo kuna kiasi gani sasa hivi? na hilo tangazo twaweza kupata soft kopy maana nina standing order ya mwaka 2009 ambayo ndo nasikia ndo upto date!
 
mshahara ni 511400 i am one of the selected weo ii. Nimeshajaza fomu za ajira nasubilia kupewa check no. Karibuni masasi wapendwa[/QUOTE

vipi ushaanza kazi huko Masasi ndugu?!
 
Sio kweli kama ni graduate anaanza na basic ya 511,000 katika TGS D. Back to the topic ni kwamba unastahili kulipwa nauli ya Dar hadi Rungwe (kwa rates za Sumatra na sio za mabasi), Unapewa subsistence allowance ya 35000/= kwa siku 7. Utapewa pia hela kwa ajili ya kusafirisha mizigo na familia (kama utafhibitisha kuwa una Mke/Mume na watoto/wategemezi. Kuhusu mizigo rates zake kwa graduates ni tani 3 mara idadi ya kilometa mara shilingi 1000/=. Utapata hela nyingi hasa ukizingatia Dar- Mbeya ni kilometa zaidi ya 800 na Tukuyu toka Mbeya ni kama kilometa 60 hivi.

Benefits zingine ni circumstantial, inategemeana na mahali ulipo, wewe kama Katibu wa Baraza la maendeleo ya Kata utakuwa ni viposho bila shaka. Ukiweza kukalia kiti sawasawa wale watendaji wengine kama Maendeleo ya jamii, Kilimo,Afya n.k utasahau kama wewe ni WEO. Aidha kuna posho ya extra duties au overtime, kuna vikao mbalimbali n.k
Hongera sana ila kama kazi hiyo ulipatia kupitia JF sio vibaya ukikumbuka kuchangia kidogo, onana na Invisible akupe utaratibu....

Sorry mkuu nimekuuliza swala kabla sijasoma hii three... Thanks kwa update hii nzuri na makini...

Thanks.
 
  • Thanks
Reactions: SG8
mshahara ni 511400 i am one of the selected weo ii. Nimeshajaza fomu za ajira nasubilia kupewa check no. Karibuni masasi wapendwa[/QUOTE

vipi ushaanza kazi huko Masasi ndugu?!

naanza tarh 27 dec 2012 nilipo ripoti nikashauriwa na afisa utumishi nijaze fom ya likizo ya wk 2 wakat nasubilia pesa yangu ya kujikim na chek no.
 
Mi natafuta kazi nina elimu ya kidato cha nne nina uzofu wa kaz ya umesenja pamoja na stores na ukarani nina fahamu computer na katika lugha najua kingereza na kiswahili natafuta kazi yeyote 0718312125hi namba yangu
 
Sorry mkuu nimekuuliza swala kabla sijasoma hii three... Thanks kwa update hii nzuri na makini...

Thanks.
Usijali Mkuu. Usisahau kuwasiliana na hawa Invisible (sharing is caring),na Maxence Melo ili uichangie hii forum iendelee kudumu na kudumu. Otherwise hongera sana
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom