Enough with Siasa...sasa tunaoa wa Japani

Game Theory

Platinum Member
Sep 5, 2006
8,545
835
Naam
huyu Braza hapa chini keshaonyesha njia

picture.php


CIMG7388.JPG


CIMG7392.JPG


Tushapiga sana mikelele wengine wameamua kunyuti wengine JF imekuwa kama therapy na wengine bado wanaendelea kumwaga mijidata

Labda kama tunataka kuwa pressure group na tunataka real changes...then siku Invisible badili front page yote kisha bandika ONLINE PETITION kama 10 hivi ili watu wajaze for like 24 hrs then rudisha normal forums page

Ohh btw ndugu zetu wengine wameamua kuoa Wa jAPANI...safi sana na kama wengine mshaoa then si vibaya mkafanya MITHNA maana mafisadi bado wanapeta sasa hauwezi kuwazuia basi hata kuongeza wake nako tushindwe?

CIMG7392.JPG
 
Labda kama umeshaona ulazima wa kuoa na umeshaoa, vinginevyo huna moral high ground kuandika watu waoe achia mbali mathna.
 
Best nendeni kule kyaka Bukoba kuna wachina watoto waloachwa wakati wa kutengeneza barabara ya lami na wachina walizaa na kinamama wa kihaya. Hao watoto wanauza ''gonja'' (ndizi za kuchoma) best wanaongea Kihaya dunia nzima hata kiswahili hawajui. So acha wajapani waolewe tu!
 
Hapo hapo kwenye lead post ya thread hii atii, vipi Comoro ulitoka kapa au ulivuta kitu?

Sheikh kule kumekuwa Big dissapointment kwanza zile nzuma Enhe! shurti uwe wajua Ki Faransa, kule kwingine wanataka Hafidh..aliyebobea na kama ukisema jambo basi wanataka kujua kila kitu including ISNADI zote

wale waliopo Bongo wako obsessed with degrees na C.V

Unless uko willing kuleta ideas mbali mbali
 
......

Unless uko willing kuleta ideas mbali mbali

Subra subra akhui. Nenda Bukoba, kuna watoto mchanganyiko wa kihaya na kichina, hawajui hata kiswahili, unavuta na mould inatoka kitu na box. Kupika chapati na wali nazi haitakuwa kwere.
 
Subra subra akhui. Nenda Bukoba, kuna watoto mchanganyiko wa kihaya na kichina, hawajui hata kiswahili, unavuta na mould inatoka kitu na box. Kupika chapati na wali nazi haitakuwa kwere.

Akhui BK noma si unajua tena sie wengine wabovu wabovu wa mambo ya lahaja na twapenda wavae maDera...na bila kusahau wajue pika vyakula vyetu vya kimwambao...ohh si haba kama akijua nyimbo mbili tatu za Abbas Mzee kama vile WANUNIA NINI na HARUSI

ohhh si vibaya awe keshachezwa

BK sheikh hupati mambo hayo...kule wana mambo ya KiDHUNGU sana wale
 
Naam
huyu Braza hapa chini keshaonyesha njia

picture.php


CIMG7388.JPG


CIMG7392.JPG


Tushapiga sana mikelele wengine wameamua kunyuti wengine JF imekuwa kama therapy na wengine bado wanaendelea kumwaga mijidata

Labda kama tunataka kuwa pressure group na tunataka real changes...then siku Invisible badili front page yote kisha bandika ONLINE PETITION kama 10 hivi ili watu wajaze for like 24 hrs then rudisha normal forums page

Ohh btw ndugu zetu wengine wameamua kuoa Wa jAPANI...safi sana na kama wengine mshaoa then si vibaya mkafanya MITHNA maana mafisadi bado wanapeta sasa hauwezi kuwazuia basi hata kuongeza wake nako tushindwe?

CIMG7392.JPG


big up bro..kitu mwake
 
Akhui BK noma si unajua tena sie wengine wabovu wabovu wa mambo ya lahaja na twapenda wavae maDera...na bila kusahau wajue pika vyakula vyetu vya kimwambao...ohh si haba kama akijua nyimbo mbili tatu za Abbas Mzee kama vile WANUNIA NINI na HARUSI

ohhh si vibaya awe keshachezwa

BK sheikh hupati mambo hayo...kule wana mambo ya KiDHUNGU sana wale

Sheikh nia nia.....hujanuia bado. Kila pahala wapatolea sababu.

Haya nenda Tanga, Usagara karibu na CIC quarters - kuna watoto mashaallah, wallah Mwenyezi Mungu kawajaalia, ni wa dera na baibui, wa udi na majasmini, sasa hizo nyimbo za Akina Abbas Mzee and more ndio kwao pale. Kwenye mahanjam hawako nyuma....

Watoto wa mji Mkongwe au michenzani Unguja sikushauri.
 
Wabongo wengine bwana, katika mambo yote wewe umeona "kuongeza" wake ndiyo issue?

Halafu huyo Fred Astaire mweusi umemtoa wapi?
 
Huyu mtu umemtoa wapi GT? Angalia asije kukupeleka mbele ya sheria kwa kutoa picha yake hadharani. Au ni wewe nini mkuu umeamua kuchanganya mbegu?
 
........Kuoa/kuolewa na race nyingine wala si ajabu siku hizi, wote ni binadamu na tabia na maumbile ni yale yale.
 
Sheikh nia nia.....hujanuia bado. Kila pahala wapatolea sababu.

Haya nenda Tanga, Usagara karibu na CIC quarters - kuna watoto mashaallah, wallah Mwenyezi Mungu kawajaalia, ni wa dera na baibui, wa udi na majasmini, sasa hizo nyimbo za Akina Abbas Mzee and more ndio kwao pale. Kwenye mahanjam hawako nyuma....

Watoto wa mji Mkongwe au michenzani Unguja sikushauri.

hebu kuwa specific basiiii

wot about kule Ahlul Bait?
 
Back
Top Bottom