Wee ni mbaguzi nini? Hatusemi kuchanganya mbegu maana inakuwa kama vile jamaa kafanya jambo baya.
Mshenzi huyu alifaidi/anafaidi maana mwanamke jicho, na amelitoa utafikiri ndiyo siku ya mwisho kulitowa. Wee muowaji hongera zako kijana. Nimekuwa na usongo na hao Vimacho (uwii, mie si mbaguzi) kwa miaka mingi ila naona nimetoka kapa/mweupe na nimeshaamuwa kuula wa chuya.
Ndahani, kijana akishafaidi basi baada ya miezi TISA, hatusemi kachanganya mbegu ila tunasema kijana KASAFISHA NGOZI.
AmaniGK unaona mfano huo? Wee hangaika tu na akina Frida. Ila hawa Wajapan/Asia kwa wale wapenzi wa Taarabu, naona itakuwa shida sana. Maana mambo ni Kipe.... Kipengule maa'ngu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.