eneo la wazi mwananyamala panajengwa madrasa!!!!?!!

eneo la wazi mwananyamala panajengwa madrasa!!!!?!!

Nyie mbina hamkomi? Lete source siyo kutufanya tujadili kwa chuki,je unaushaidi? Watu tunafuatilia issue za A-town we unataka kuleta uchochezi,
 
Ujue sisi tunafadhiliwa na nchi za magharibi sana ambao tunawasaidia kutekeleza sera zao za kifirauni kama ushoga,dhulma mbalimbali,sema hatujui kuwa sisi tuko mbele na hawatukamati kwa sasa hela zetu zote zimetokana na primitive accumulation of capital ndio mana sisi tunejenga masonic building.kuwa msomi sio kuwa na degree za juu.Eti tumeendele lakini tunadanganywa eti 3=1 na 1=3.akili au matope.tumeendelea kweli nimadoctor na maprofesa.kitendawili!

Una akili sana. Nimekukubali
 
Kwanza hili suala la serikali kumiliki ardhi limetu-cost sana Waislamu!

..ngoja Wazanzibari wachukue nchi yao Tanganyika nako kitaeleweka tu mpaka tugawane nchi.
 
Eneo la wazi mwananyamala,nyuma ya kanisa na jirani na kituo cha polisi pana ujenzi unaendelea wa madrasa
Eneo hilo ambalo siku nenda rudi limekuwa likitumika kwa michezo "wenye" eneo wameona wajijengee madrasa
Nawapongeza
Kwa nini mnapenda kukashifu dini za wenzenu?
 
Eneo la wazi mwananyamala,nyuma ya kanisa na jirani na kituo cha polisi pana ujenzi unaendelea wa madrasa
Eneo hilo ambalo siku nenda rudi limekuwa likitumika kwa michezo "wenye" eneo wameona wajijengee madrasa
Nawapongeza

Inaonekana watu wengi hawana ufahamu wa mambo ya ardhi na hili linachangia kwa kiasi kikubwa kila kona ya nchi yetu kuwa na migogoro ya ardhi.
Kwa faida ya mleta mada na wengine humu jf ni kwamba; eneo la wazi linaruhusiwa kutumika kwa shughuli za kijamii tu kama vile kujenga msikiti, kanisa, taasisi za huduma za afya na elimu kwa hiyo kinachotakiwa ni kufuata taratibu tu za ardhi then unalitumia. Kwa hiyo kujenga madrasa ni katika mambo yanayoruhusiwa kufanyika kwenye open spaces.
 
jengeni ili mabwege muendelee kuwa wengi,wanenu wakariri juzuu,wetu wanaenda tuisheni! Kisha baada yamiaka 15 mlalamike eti watumishi serikali wengi ni wakristo,mbwa nyie mnadhani mtapewa uwaziri kwa elimu yajuzuu?
okamamuk kila siku watu wanapigiwa kelele kuhusu kukashifiana mbona unakua choko wa akili we pimbi?
 
But why a madrasa and not something usefull?!. twalalama wenzetu wanavyuo na shule nyingi, basi na tujisifie tunazo madrasa nyingi maana nyingine ziko hata chini ya mti. kwa hili tumewapiku wenzetu na hawatukamati kamwe.

kwani alie kuambia madrasa siyo usefull ni nani? acha ulimbukeni wewe!!
 
MAENEO YA WAZI... ambayo mengi yalitumika ndivyo sivyo ni JIPU
 
jengeni ili mabwege muendelee kuwa wengi,wanenu wakariri juzuu,wetu wanaenda tuisheni! Kisha baada yamiaka 15 mlalamike eti watumishi serikali wengi ni wakristo,mbwa nyie mnadhani mtapewa uwaziri kwa elimu yajuzuu?
Wewe ndio uko nyuma katika dunia inayokwenda mbele,leo dunia nzima wanatafuta wasomi wa madrasa,mpaka vyuo vikuu na katika mikutano ya kimataifa,ikiwa Lugha ya kiarabu ni miongoni mwa Lugha za kimataifa,U.N,ni miongoni mwa Lugha inazotumika kwa mawasiliano.
Na hata bidhaa nyingi
,au karibia bidhaa zote duniani utakuta Lugha ya kiarabu ipo.
Acha chuki zisizo na muelekeo,uwelewe ukweli.Hapo ulipo umwzungukwa na maandishi ya kiarabu,vifaa vingi vya Electronic,pamoja na hiyo Laptop au simu,unayotumia ndani yake Lugha ya kiarabu ipo.
 
Back
Top Bottom