Eneo la Siri la Serikali (ESS) pokea mtazamo wa Kalooism kuhusu madaraja ya hapa kazi tu

Eneo la Siri la Serikali (ESS) pokea mtazamo wa Kalooism kuhusu madaraja ya hapa kazi tu

kalooo 25594

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2016
Posts
300
Reaction score
194
Ndg wanajamvi,Habari za majukumu,Wapo poleni na wapo hongereni,mimi mwenzenu bado ni mzima wa Afya.

Kama ilivyo kawaida kwa watu wa asili moja,nchi moja bara moja lazima na ni bora tuwe na mtazamo wa dunia moja katika ulimwengu tuishio,Hapa Nina mtazamo wa kalooism kuhusu namna fulani inayoweza kuchangia ama kutoa challenge fulani juu ya baadhi ya mifumo yetu ya kuinua watu ndani ya sauti yetu.Naomba kwanza kukiri kuwa tumetoka mbali licha ya mazingira magumu tuliyowekewa na mataifa ya nje,mfano kwa Taifa letu limeweza kupambana na kufika uchumi wa kati katika kipindi kigumu cha ugonjwa wa Corona.Hivyo hizi ni baadhi ya mitazamo mingine kuweka ujumuishi na mingine sawia katika angle fulani iwezayo kurekebishwa na kukoselewa na hata kufanyiwa kazi baadhi yake katika kuboresha panapo husika.

Pia soma Katika dunia inayobadilika kila kukicha vijana wa kiafrika wanahitaji zaidi uhuru wa ardhi-wanahitaji ukombozi wa nafsi

Yapo madhaifu ya ESS system katika kuwapeleka watu kwenye mbingu saba zilizopangana kwa madaraja/safu.​

  • Mfumo huu hutegemea taarifa za mtu binafsi na msimamizi kujazia maandishi yanayoweza fanana na alichokisomea mtu japo yanahusishwa maeneo yasiyo na ushahidi, hivo hakuna uhalisia wa kazi na matokeo ndani ya muda kulileta Taifa huru.
  • Hakuna ushahidi wa wazi wa ufanisi wa mtu kazini kuwa bora kwa Taifa kwanza(wazuri wa kujieleza ndo wanaonekana wanastahili si matokeo).
  • Upendeleo wa msimamizi unaweza kuwa kigezo cha kupendezesha taarifa sababu hakuna taarifa sahihi zilizofanyika sambamba ndani ya muda wa kazi zake mpaka sasa.
  • Taarifa za mwaka mzima si kigezo cha mtu kuonekana anastahili au hastahili kupanda.
  • Unaweza kuzaa matokeo magumu kwa wengine watakao upima kwanza kuwa hakika ni Agizo tu la sawa na kutumia barabara huku unalifokea japo si kipimo sahihi kwa dunia mpya ya fikra mpya na daraja jipya moja tulitakalo tufike wote,Kama uko mbinguni je utataka tena kwenda mbinguni?Jamani msiba hujibu kila kitu hapo hapo.​
Hakuna ubunifu dhahiri labda ule wa kujipendekeza kujaza taarifa hizo kwa hofu ya kufukuzwa kazi au kusimamishiwa mishahara(maadui na dogma watauona ni dogma,ni mfumo usio na ushahidi wa kimazingira hata rejea mbalimbali alafu umeletwa kisa kufukuzwa).​

NAMNA BORA YA KESHO YETU.
No1.KipengeleSasaBadae nini kifanyike.
1Aina ya kipengeleFomu yenye maelezo binafsi ya mtu mwenyewe unaohalarishwa na kalamu iliyoko ofsini kwa mwakaTaarifa binafsi ya kila robo ya mwaka inayoenda sambamba na miradi iliyokuwepo kwenye kituo cha mtumishi.
2Mtoaji taarifaMtumishi mwenyewe tu na msimamizi bila kuzingatia wakati wa kazi katika uhalisia.Mchanganyiko wa wadau:meneja yeye mwenyewe na wateja wawe sehemu ya kutoa maoni yao kwa kila mradi kama uridhisha.
3Uhusiano wa wateja wetuFomu jazwa/mfumo haielezi Kazi na matokeo.Viwepo kazi na matokeo moja kwa moja remodeling kutoka eneo la mradi.
4Kipimo cha mafanikioMaandishi tu ndo ushindi,asiyejaza si mtumishi tena mwaka huoMatokeo halisi,data za utendaji pamoja na gharama zilizotumika kukamilisha kutoka kwa wasimamizi wake.
5ufanisi wa mfumoWanaojua kujieleza kwa maandishi,90-100% huyu anafaa na mwingine chini ya hapo kwa msimamizi hatufaiUfanisi wa kazi,kazi zenyewe zinajielezea.
6.Uangalizi wa ubunifuHauoneshwi na mfumo wa ESSUbunifu ndo kipimo kikuu.
7Teknolojia ya kutathmimiKipimo ni sehemu jazwa tuUwepo wa Dashbord,AL based analytic na ufuatiliji wa matokeo
8.Kipimo cha kubadilika/kujifunzaHakionekaniNi bora kizingatiwe.
8Ushirikishwaji wa timuHaupoklla mtu kwenye timu huchangia tathmini ya mwenzao
9.Motisha kwa wasiojaza fomu ya ESSWatu huachwa nyuma/hata kutishiwa kusimamishiwa mishahara bila namna bora na ikawa hivo kwa wasiojaza taarifaUwepo uwazi wa mtu kukata rufaa baada ya matokeo aliyoyapata.
10Uwiano wa mabadiliko
Cheo kupanda kinachukua muda mwingi mno kwa kipimo hiki.Maana sehemu pembezoni husahaulika.​
Kwa Uhalisia wa kazi hauhitaji muda mwingi mtu kupanda cheo.​
Kwa hiyo mfumo huu wa ESS hauna kipimo cha utu,matumizi halali ya pesa kwenye miradi,na mgawanyo wa majukumu kulingana upatikanaji wa kazi,kwa mfano mtu mmemwajiri na hakuna kazi mnamlazimisha jaza tu,jaza tu ifike angalau 60% ili apande,kwa hiyo hauna uhalisia bali upande mmoja tu unaamua kutegemea na msimamizi pasipo kuzingatia hadhi na mantiki ya Jambo mpaka lipelekewe kuwa lazima na litaftiwe adhabu(manyanyaso),Je akiwashtaki mmemwajiri more than 8 hours kwa kukaa tu kama mfungwa wa akili ofsini,Je yeye ni wa mshahara tu? hamuoni ninyi ndo mna makosa hata ya kumlipa mshahara?Peace of mind is more prices hasa tutakapokuwa tumethamini elimu vitendo kwa kutoiua na kuirithisha kizazi kwenda kizazi kwa vitendo katika mazingira karakana na mazingira kazi.Kwa viongozi wa baadhi ya nchi wamefanya kazi kubwa hasa ni ile namna ya kufika uchumi wa juu kwa mazingira yasiyo rafiki kutoka mataifa ya nje lakini tukibotesha na haya mengine tunayopigia kelele tutafika pazuri zaidi.


Lakini zipo nchi(Uholanzi) zinazowalipa wasio na kazi na hata ghiriba ya kufukuzwa kazi bila kosa lazima miezi miwili mshahara wako ulipwe na 70% kwa mwezi mpaka kuisha mzigo wote kwa kipindi cha mkataba endapo taasisi imefeli yenyewe.Na zipo zingine nyingi zina mfumo bora wa kuwatambua watumishi wao wanaopanda madaraja,mfano Singapore,Canada na Swedeni kusema zote karatasi haitoshi ila muda unatosha.
  1. Singapore,Wana Mfumo wa tathmini wanaouita Performance management system(PMS),Deep system,Malengo yaliyowekwa kwanza ya pamoja kwenye vituo vya kazi,Ukaguzi wa kimkakati,unaoenda sambamba na muda wa mradi kutoka kwa wasimamizi kuhusu utekelezaji wa malengo hayo.​
  2. New Zealand 🇳🇿,wana mfumo katika eneo siri wanaouita Performance improved framework(PIF),mfumo huu huendeshwa kwa ushirikiano mkubwa kati ya mtumishi na msimamizi na ni tathmini zinazoendeshwa kwa maadili ya eneo la kazi linaloendana na uhalisia wa muda na bajeti.​
  3. Canada,wao wana mfumo uitwao Results- based Management(RBM),ufuatiliaji wa matokeo,tathmini ya kuendeleza na usawa na uwazi.​
  4. Denmark,wana mfumo wa tathmini uitwao Public sector perfomance management(PSPM).Uwajibikaji wa taasisi,Kuweka malengo ya muda mrefu na kuunga mkono na data halisi.​
  5. Australia,wao wanao mfumo wa kutathmimi wanaouita Australian Public Service performance frame work,Mfumo uliojikita hasa kutambua mchango wa mtumishi kwa wananchi kutokana na kazi za wananchi.Tathmini ya utendaji na maoni ya wananchi.​


Nashauri, japo wapo wanaoweza pinga utaratibu wa Mungu,wapendao imani ya Mungu na mafundisho bora (Philosophy) wawatambue watu wote katika mema,Wapo kwa mfumo huu watasema wazi kuwa Hatuchezi ng'oo wakiwa upande wa Kazi na utu(Derby ya Mama) tusonge mbele licha ya mazingira yetu kuwa bado tuvumiliane kuliko kutuletea magari ya washa washa kwenye vituo vya kazi(Jangwani na sehemu zingine) kwa makosa ambayo hatujakaa tukayarekebisha kwanza sisi wenyewe.

ASANTENI,msiwafanyie jambo linalo ashiria ukatili wowote jamani,Kalooism ina amini Ufundi wa chombo kwa mtu hupimwa na wapita njia,wakikikubali chombo, hicho ndicho chombo kwa air.(Wema wa Mungu-Umewazunguka).Think Big is rated to Rev.......​
 

Attachments

  • wema wa Mungu umenizunguka(360P).mp4
    8.5 MB
  • 🇹🇿🇹🇿Tanzania to the World 🌎... 🇺🇬🇺🇬__As Tanzania we had an opportunity to Present our Country ...mp4
    17 MB
Nimetoka kapa, hii naona inawahusu watumishi wa umma.

No reforms no elections
 
Sijaelewa kitu
Eneo siri la serikali,Heri uwe kama Rose Mhando yeye anakiri wazi madhaifu yetu kwa kuusema sisi Hatumo kwenye mfumo huo, kuliko Da vinci anayetubagua katika makundi matatu ya kuona jambo.
 
Sijaelewa kitu
Eneo siri la serikali,Heri rose Mhando yeyeanakiri Hatumo.
Nimetoka kapa, hii naona inawahusu watumishi wa umma.

No reforms no elections
Nyinyi mnataka Reforms lakini bado hamshauliki nje ndani,Sasa sisi na uzee wetu tutafanyeje na wakati hatuna uwezo wa wazi kabisa wa kuzuia uchaguzi kikatiba,na majaribio ni yale yanayoonekana kwanza, mpaka sasa Katiba inatambua na kuvilinda vyote,vile sahihi na vilivyotoka nje huviweka sawa ili kulinda uelekeo wa kimfumo(uitwao  Jamhuri) wa Taifa katika Dalili za ustawi.
 
Ni kama mleta mada anatoa dosari za mfumo wa watumishi unaoitwa ESS
Una dosari,na dosari mbaya kabisa hauna sehemu ya rufaa baada ya kukamilika matarajio yake.(asiyepandishwa ni wapi atawasilisha Rufaa yake,si bado ataonekana ana vurugu,asiyejaza sasa eti kusimamishiwa mshahara au kufukuzwa kazi,No hizi fikra za kitumwa bado(Kaiba hela ya mradi?)tunahitaji viongozi wapokee challenge kwanza si kuwa mabwana maagizo juu ya sisi vikaragosi).
 
Ni kichaka Cha spinning Kwa watumishi,juzi kati eti Ili upate increament Kwa wale walioajiriwa 2014 lazima performance iwe asilimia 75,Sasa unajiuliza kwa mwezi was none unawezaje kufanya KAZI Hadi iwe 75% !?wakati ndio kwanza kazi ndio inaanza!!? Walau ingekua mwezi wa tisa au name walau lakini sio was none au wa tano!!

Watu tumekosa increments kiss asilimia hazijapanda!!!ukimpigia Afisa utumishi anakiambia lazima isome 75%!!aiseh !!
 
Ni kama mleta mada anatoa dosari za mfumo wa watumishi unaoitwa ESS
Una dosari,na dosari mbaya hauna sehemu rufaa baada ya kukamilika matarajio yake.
No kichaka Cha spinning Kwa watumishi,juzi kati eti Ili upate increament Kwa wale walioajiriwa 2014 lazima performance iwe asilimia 75,Sasa unajiuliza kwa mwezi was none unawezaje kufanya KAZI Hadi iwe 75% !?wakati ndio kwanza kazi ndio inaanza!!? Walau ingekua mwezi wa tisa au name walau lakini sio was none au wa tano!!

Watu tumekosa increments kiss asilimia hazijapanda!!!
Tunashauri viongozi wajue kwanza mazingira ya Ofisi zao na kazi zinazofanyika huko ziwe katika rekodi(waweke sanduku au mfumo wa uhuru wa maoni kila robo ya mwaka kwa kila mtumishi linaloenda ngazi ya juu kimaamzi),mwishowe tusitengeneze miaka nenda rudi Taifa la watu wa hofu na mafundi wa kupika uongo,Taifa kwenda mbele Tunahitaji Fikra mpya zenye uhuru wa kweli,ziwezazo ku reason kila jambo haijalishi nani kasema,hii itatufanya tuwe na kizazi kinachopenda ukweli kuliko ukubwa.(Kuwa mtumishi wa umma wa chini si mtumwa ila ni koki ya maji ya serikali kuu).
 
Au hili andiko lilikua kwa kingereza ndo umelileta kwa kiswahili kwa kutumia Google Translator....? 🤔
 
Au hili andiko lilikua kwa kingereza ndo umelileta kwa kiswahili kwa kutumia Google Translator....? 🤔
Kikubwa ujumbe(Love wisdom) wewe ni sehemu ya dunia.Tunajifunza kwa yaliyoko na kukinzana nayo kwa matokeo zaidi ili kuboresha kwa yale yajayo(philosophical materialism/Historical materialism ni Karl Marx katika rejea).
 
Ndg wanajamvi,Habari za majukumu,Wapo poleni na wapo hongereni,mimi ni mzima wa Afya.

Kama ilivyo kawaida watu wa asili moja,nchi moja bara moja lazima tuwe na mtazamo wa dunia moja katika ulimwengu tuishio,Hapa Nina mtazamo wa kalooism kuhusu namna fulani inayoweza kuchangia ama kutoa challenge fulani juu ya baadhi ya mifumo yetu ya kuinua watu ndani ya sauti yetu.

Pia soma Katika dunia inayobadilika kila kukicha vijana wa kiafrika wanahitaji zaidi uhuru wa ardhi-wanahitaji ukombozi wa nafsi

Yapo madhaifu ya ESS system katika kuwapeleka watu kwenye mbingu saba zilizopangana kwa madaraja/safu.​

  • Mfumo huu hutegemea taarifa za mtu binafsi,hivo hauna uhalisia wa kazi na matokeo ndani ya muda.
  • Hakuna ushahidi wa wazi wa ufanisi wa mtu kazini(wazuri wa kujieleza ndo wanaonekana wanastahili si matokeo).
  • Upendeleo unaweza kuwa kigezo sababu hakuna taarifa sahihi.
  • Taarifa za mwaka mzima si kigezo cha mtu kuonekana anastahili au hastahili.
  • Unaweza kuzaa matokeo magumu kwa wengine watakao upima kuwa hakika ni Agizo tu japo si kipimo sahihi kwa dunia mpya ya fikra mpya.​
Hakuna ubunifu dhahiri labda ule wa kujipendekeza kujaza fomu hizo kwa hofu ya kufukuzwa kazi au kusimamishiwa mishahara(maadui na dogma watauona ni dogma,ni mfumo usio na ushahidi wa kimazingira hata rejea mbalimbali alafu umeletwa kwa vitisho vya hofu).​

NAMNA BORA YA KESHO YETU.
No1.KipengeleSasaBadae nini kifanyike.
1Aina ya kipengeleFomu binafsi ya mtu mwenyewe kwa mwakaTaarifa binafsi ya kila robo ya mwaka inayoenda sambamba na miradi iliyokuwepo kwenye kituo cha mtumishi.
2Mtoaji taarifaMtumishi mwenyewe tu.Mchanganyiko wa wadau:meneja yeye mwenyewe na wateja wawe sehemu ya kutoa maoni yao kwa kila mradi kama uridhisha.
3Uhusiano wa wateja wetuFomu haielezi Kazi na matokeo.Viwepo kazi na matokeo
4Kipimo cha mafanikioMaandishi tu ndo ushindi,asiyejaza si mtumishi.Matokeo halisi,data za utendaji pamoja na gharama zilizotumika kukamilisha kutoka kwa wasimamizi wake.
5ufanisi wa mfumoWanaojua kujieleza kwa maandishi,90-100% huyu anafaa na mwingine chini ya hapo hatufaiufanisi wa kazi
6.Uangalizi wa ubunifuHauoneshwi na fomu ya ESSUbunifu ndo kipimo kikuu.
7Teknolojia ya kutathmimiKipimo ni fomu tuUwepo wa Dashbord,AL based analytic na ufuatiliji wa matokeo
8.Kipimo cha kubadilika/kujifunzaHakionekaniNi bora kizingatiwe.
8Ushirikishwaji wa timuHaupoklla mtu kwenye time huchangia tathmini ya mwenzao
9.Motisha kwa wasiojaza fomu ya ESSWatu huachwa nyuma/hata kutishiwa kusimamishiwa mishahara na ikawa hivo wasiojaza fomuUwepo uwazi wa mtu kukata rufaa baada ya matokeo aliyoyapata.
10Uwiano wa mabadiliko
Cheo kupanda kinachukua muda mwingi mno kwa kipimo hiki.​
Kwa Uhalisia wa kazi hauhitaji muda mwingi mtu kupanda cheo.​
Kwa hiyo mfumo huu wa ESS hauna kipimo cha utu bali upande mmoja tu unaamua pasipo kuzingatia hadhi na mantiki ya Jambo mpaka lipelekee kuwa lazima.


Lakini zipo nchi nyingi zina mfumo bora wa kuwatambua watumishi wao wanaopanda madaraja,mfano Singapore,Canada na Swedeni kusema zote karatasi haitoshi muda unatosha.
  1. Singapore,Wana Mfumo wa tathmini wanaouita Performance management system(PMS),Deep system,Malengo yaliyowekwa kwanza ya pamoja kwenye vituo vya kazi,Ukaguzi wa kimkakati kutoka kwa wasimamizi kuhusu utekelezaji wa malengo hayo.​
  2. New Zealand 🇳🇿,wana mfumo katika eneo siri wanaouita Performance improved framework(PIF),mfumo huu huendeshwa kwa ushirikiano mkubwa kati ya mtumishi na msimamizi na ni tathmini zinazoendeshwa kwa maadili.​
  3. Canada,wao wana mfumo uitwao Results- based Management(RBM),ufuatiliaji wa matokeo,tathmini ya kuendeleza na usawa na uwazi.​
  4. Denmark,wana mfumo wa tathmini uitwao Public sector perfomance management(PSPM).Uwajibikaji wa taasisi,Kuweka malengo ya muda mrefu na kuunga mkono na data halisi.​
  5. Australia,wao wanao mfumo wa kutathmimi wanaouita Australian Public Service performance frame work,Mfumo uliojikita hasa kutambua mchango wa mtumishi kwa wananchi kutokana na kazi za wananchi.Tathmini ya utendaji na maoni ya wananchi.​


Nashauri(Philosophy),Wapo kwa mfumo huu watasema wazi kuwa Hatuchezi ng'oo wakiwa upande wa Kazi na utu(Derby ya mama) ndo tusonge mbele kuliko kutuletea magari ya washa washa kwenye vituo vya kazi(Jangwani na sehemu zingine).

ASANTENI.​
Daah...andikeni kwa utulivu banaaa....ili kila mtu aelewe..
 
K
Ndg wanajamvi,Habari za majukumu,Wapo poleni na wapo hongereni,mimi ni mzima wa Afya.

Kama ilivyo kawaida watu wa asili moja,nchi moja bara moja lazima tuwe na mtazamo wa dunia moja katika ulimwengu tuishio,Hapa Nina mtazamo wa kalooism kuhusu namna fulani inayoweza kuchangia ama kutoa challenge fulani juu ya baadhi ya mifumo yetu ya kuinua watu ndani ya sauti yetu.

Pia soma Katika dunia inayobadilika kila kukicha vijana wa kiafrika wanahitaji zaidi uhuru wa ardhi-wanahitaji ukombozi wa nafsi

Yapo madhaifu ya ESS system katika kuwapeleka watu kwenye mbingu saba zilizopangana kwa madaraja/safu.​

  • Mfumo huu hutegemea taarifa za mtu binafsi,hivo hauna uhalisia wa kazi na matokeo ndani ya muda.
  • Hakuna ushahidi wa wazi wa ufanisi wa mtu kazini(wazuri wa kujieleza ndo wanaonekana wanastahili si matokeo).
  • Upendeleo unaweza kuwa kigezo sababu hakuna taarifa sahihi.
  • Taarifa za mwaka mzima si kigezo cha mtu kuonekana anastahili au hastahili.
  • Unaweza kuzaa matokeo magumu kwa wengine watakao upima kuwa hakika ni Agizo tu japo si kipimo sahihi kwa dunia mpya ya fikra mpya.​
Hakuna ubunifu dhahiri labda ule wa kujipendekeza kujaza fomu hizo kwa hofu ya kufukuzwa kazi au kusimamishiwa mishahara(maadui na dogma watauona ni dogma,ni mfumo usio na ushahidi wa kimazingira hata rejea mbalimbali alafu umeletwa kwa vitisho vya hofu).​

NAMNA BORA YA KESHO YETU.
No1.KipengeleSasaBadae nini kifanyike.
1Aina ya kipengeleFomu binafsi ya mtu mwenyewe kwa mwakaTaarifa binafsi ya kila robo ya mwaka inayoenda sambamba na miradi iliyokuwepo kwenye kituo cha mtumishi.
2Mtoaji taarifaMtumishi mwenyewe tu.Mchanganyiko wa wadau:meneja yeye mwenyewe na wateja wawe sehemu ya kutoa maoni yao kwa kila mradi kama uridhisha.
3Uhusiano wa wateja wetuFomu haielezi Kazi na matokeo.Viwepo kazi na matokeo
4Kipimo cha mafanikioMaandishi tu ndo ushindi,asiyejaza si mtumishi.Matokeo halisi,data za utendaji pamoja na gharama zilizotumika kukamilisha kutoka kwa wasimamizi wake.
5ufanisi wa mfumoWanaojua kujieleza kwa maandishi,90-100% huyu anafaa na mwingine chini ya hapo hatufaiufanisi wa kazi
6.Uangalizi wa ubunifuHauoneshwi na fomu ya ESSUbunifu ndo kipimo kikuu.
7Teknolojia ya kutathmimiKipimo ni fomu tuUwepo wa Dashbord,AL based analytic na ufuatiliji wa matokeo
8.Kipimo cha kubadilika/kujifunzaHakionekaniNi bora kizingatiwe.
8Ushirikishwaji wa timuHaupoklla mtu kwenye time huchangia tathmini ya mwenzao
9.Motisha kwa wasiojaza fomu ya ESSWatu huachwa nyuma/hata kutishiwa kusimamishiwa mishahara na ikawa hivo wasiojaza fomuUwepo uwazi wa mtu kukata rufaa baada ya matokeo aliyoyapata.
10Uwiano wa mabadiliko
Cheo kupanda kinachukua muda mwingi mno kwa kipimo hiki.​
Kwa Uhalisia wa kazi hauhitaji muda mwingi mtu kupanda cheo.​
Kwa hiyo mfumo huu wa ESS hauna kipimo cha utu bali upande mmoja tu unaamua pasipo kuzingatia hadhi na mantiki ya Jambo mpaka lipelekee kuwa lazima.


Lakini zipo nchi nyingi zina mfumo bora wa kuwatambua watumishi wao wanaopanda madaraja,mfano Singapore,Canada na Swedeni kusema zote karatasi haitoshi muda unatosha.
  1. Singapore,Wana Mfumo wa tathmini wanaouita Performance management system(PMS),Deep system,Malengo yaliyowekwa kwanza ya pamoja kwenye vituo vya kazi,Ukaguzi wa kimkakati kutoka kwa wasimamizi kuhusu utekelezaji wa malengo hayo.​
  2. New Zealand 🇳🇿,wana mfumo katika eneo siri wanaouita Performance improved framework(PIF),mfumo huu huendeshwa kwa ushirikiano mkubwa kati ya mtumishi na msimamizi na ni tathmini zinazoendeshwa kwa maadili.​
  3. Canada,wao wana mfumo uitwao Results- based Management(RBM),ufuatiliaji wa matokeo,tathmini ya kuendeleza na usawa na uwazi.​
  4. Denmark,wana mfumo wa tathmini uitwao Public sector perfomance management(PSPM).Uwajibikaji wa taasisi,Kuweka malengo ya muda mrefu na kuunga mkono na data halisi.​
  5. Australia,wao wanao mfumo wa kutathmimi wanaouita Australian Public Service performance frame work,Mfumo uliojikita hasa kutambua mchango wa mtumishi kwa wananchi kutokana na kazi za wananchi.Tathmini ya utendaji na maoni ya wananchi.​


Nashauri(Philosophy),Wapo kwa mfumo huu watasema wazi kuwa Hatuchezi ng'oo wakiwa upande wa Kazi na utu(Derby ya mama) ndo tusonge mbele kuliko kutuletea magari ya washa washa kwenye vituo vya kazi(Jangwani na sehemu zingine).

ASANTENI.​
Kwetu ambako kazi zina perdiem, mabwana wakubwa hawakupangii kazi na spana unàpigwa ukishindwa kupika ess asala ni kwako. Mfumo wa ess hauna uwajibikaji wa mwajili kwa mtumishi. Utasikia " just cook , budget imekuja ndogo"
 
K

Kwetu ambako kazi zina perdiem, mabwana wakubwa hawakupangii kazi na spana unàpigwa ukishindwa kupika ess asala ni kwako. Mfumo wa ess hauna uwajibikaji wa mwajili kwa mtumishi. Utasikia " just cook , budget imekuja ndogo"
Ndo maana tunasema,Viongozi waongeze ubunifu,sehemu zingine bila majungu mtu(msemo wako spana) hapati per diem,Je tuchague majungu ili tuishi na hela?Cha ajabu unakopeleka malalamiko ndo hatari zaidi kwako,Mfano Tatizo la kushughulikiwa na TAKUKURU unalopeleka usaidie jamii mda haujaisha wewe tena ndo unashughulikiwa na unakuwa kikaragosi cha kuzomewa na kusemwa vibaya na unatengenezewa mazingira hata hiyo fomu ya ess ushindwe kuijaza kwa wakati(Bob Marley-Babylon system,Spana),Tunawaomba viongozi wetu wazidi kuwa na macho ya haki Mpaka chini wasidanganywe na mapokezi ya ukarimu wa vicheko bandia pale wanapotembelea maofisini bali wawe mstari wa mbele kujua mazingira wanayokutana nayo watumishi wote chini mpaka juu, Vitabu vya dini(Tupende Pan Africanism/Pragmatism kuiokoa Afrika dhidi ya mifumo tuliyorithi kwa mkoloni) Vinakiri wazi toka muda hadi kwa sasa yapo mazingira hayo ndani ya maofsi na kwa takwimu kubwa ya kunyimwa haki msingi ndani ya tatu Afrika imo.
 
Sijaelewa kitu
Oky ni sawa,Kwani una kawaida ya kuelewa papo kwa papo?Ukiwa hivo ujaliwe Hekima kwanza,Kama una hasira kwa dunia iliyokengeuka wewe ndo utakuwa namba moja mgengemfu,Ukiwa unachelewa kuelewa na utachelewa kusahau ukielewa.Jambo ukilielewa ndo limefika wakati wake(wewe save kwanza,kuwa na kifua).
 
Daah...andikeni kwa utulivu banaaa....ili kila mtu aelewe..
Duh kila mtu aelewe?Hilo gumu na kama kuna utulivu wa hivo basi tusingeambiwa ukifa ndo unaiona pepo na wengine tusingekuwa tunaenda kuungana na wenzetu na kushangilia kutolewa mapepo,Tunashangilia tusiyoyajua kwa sababu hatuna utulivu wa hivo.
 
Eneo siri la serikali,Heri rose Mhando yeyeanakiri Hatumo.

Nyinyi mnataka Reforms lakini bado hamshauliki nje ndani,Sasa sisi na uzee wetu tutafanyeje na wakati hatuna uwezo wa wazi kabisa wa kuzuia uchaguzi kikatiba,na majaribio ni yale yanayoonekana kwanza, mpaka sasa Katiba inatambua na kuvilinda vyote,vile sahihi na vilivyotoka nje huviweka sawa ili kulinda uelekeo wa kimfumo wa Taifa katika Dalili za ustawi.
Katiba na system vinaingiaje hapo
 
Katiba na system vinaingiaje hapo
Katiba si sheria mama?, Kwa kuzaliwa tu Tz ni tayari umeshatii kuwa uko under Jamhuri(utawajibika kama raia na haki zote kwa Jamhuri(mfumo wa nchi) unaotambulika kikatiba sheria na Kanuni ambaye mwajiriwa no.1 Mkuu wa nchi anaulinda usipotee siyo kwa gharama yeyote ila Kwa Katiba,Sheria,kanuni na miongozo mbalimbali ).Tunaomba Mpate Utulivu sisi ni Watanzania,tunapenda tuyapate Mabadiliko yanayoendana na njia halali au za uhakika,Mkifikia huko ipo na Katiba baba/itifaki(mafumbo mazito ya makubaliano ya dunia).
 
majanga tu. unajaza supervisor hakufanyii assessment so unabak hupand alama .
 
Back
Top Bottom