Mbepo yamba
JF-Expert Member
- Aug 5, 2012
- 1,384
- 2,081
Amekuwa tayari kupitia njia ya kunyongwa mpaka kufa. Sasa kuna fununu la mwangwi mkuu wa mageuzi. Endapo yakatokea tuone atawekwa wapi na historia
Wewe huogopi mtu kapigwa risasi zote hizo mwilini na bado hajafa?! Huyo ni mtu wa kawaida kweli?Amekuwa tayari kupitia njia ya kunyongwa mpaka kufa. Sasa kuna fununu la mwangwi mkuu wa mageuzi. Endapo yakatokea tuone atawekwa wapi na historia
Mimi naona itakuwa sawa tuAmekuwa tayari kupitia njia ya kunyongwa mpaka kufa. Sasa kuna fununu la mwangwi mkuu wa mageuzi. Endapo yakatokea tuone atawekwa wapi na historia
List kwa afrika itakuwa hiviMandela
Wewe unazo zipi?Hakuna reforms, hizo habari sijazipata although Nina chimbo nyingi
Kufanya hivyo si sahihi, maana ni sawa na kuiweka CCM meza moja na mkoloni MuingerezaEndapo reforms zote kubwa zinafanyika, Je Lissu awekwe meza moja na akina Nyerere kwenye historia?
Kwa hiyo bora mkoloni Mwingereza?Kufanya hivyo si sahihi, maana ni sawa na kuiweka CCM meza moja na mkoloni Muingereza
Hutaki kusikia neno gani?Hapana sitaki SIKIA HILO neno bali awekwe MEZA MOJA na.....,..................................... Martin Luther king jr.
Bora CCM, ingawa sijawahi kuipigia kuraKwa hiyo bora mkoloni Mwingereza?
Tujipe muda
Tuzidi kuomba tena tusali sanaZile risasi alizopigwa ni historia kubwa, dunia inashangaa alivyopona. Mpango halisi wa Mungu ili Lissu aikomboe Tz kutoka mikono ya mafisadi.
Mkuu HIZO level KESHA vuka.Hutaki kusikia neno gani?
Bora CCM, ingawa sijawahi kuipigia kura
Tundu Lissu is a blessed anointed servant of GodAmekuwa tayari kupitia njia ya kunyongwa mpaka kufa. Sasa kuna fununu la mwangwi mkuu wa mageuzi. Endapo yakatokea tuone atawekwa wapi na historia