Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Huu ni ushahidi tosha ya kuwa chadema inaeleke kufa kama sio kupotea katika siasa za Tanzania
ilianza 2010 wakawa wanapata wafuasi wengi lakini hawapigi kula Dr Slaa akaanguka Vibaya
Na sasa Kashindye Joseph kasababisha mtafaruku katika chadema timu nzima ya wabunge wake
ilielekea Igunga na kuambulia patupu
Mytake: Kwa mtindo huu Chadema haitokuwa chama cha kuongoza nchi hii
kaburi lake wamejichongea WENYEWE
Mi naona siasa ni mchezo mchafu tuwaachie wansiasa wenyewejinga sana veve,..
Huu ni ushahidi tosha ya kuwa chadema inaeleke kufa kama sio kupotea katika siasa za Tanzania
ilianza 2010 wakawa wanapata wafuasi wengi lakini hawapigi kula Dr Slaa akaanguka Vibaya
Na sasa Kashindye Joseph kasababisha mtafaruku katika chadema timu nzima ya wabunge wake
ilielekea Igunga na kuambulia patupu
Mytake: Kwa mtindo huu Chadema haitokuwa chama cha kuongoza nchi hii
kaburi lake wamejichongea WENYEWE
Huu ni ushahidi tosha ya kuwa chadema inaeleke kufa kama sio kupotea katika siasa za Tanzania
ilianza 2010 wakawa wanapata wafuasi wengi lakini hawapigi kula Dr Slaa akaanguka Vibaya
Na sasa Kashindye Joseph kasababisha mtafaruku katika chadema timu nzima ya wabunge wake
ilielekea Igunga na kuambulia patupu
Mytake: Kwa mtindo huu Chadema haitokuwa chama cha kuongoza nchi hii
kaburi lake wamejichongea WENYEWE
Arifu acha kutuletea mambo ya kisoro-soro chama-angu..........utafikiri unatoa mawazo ukiwa umetoka kucheza mchezo wa kibaba na mama na Mchemba
Hizo ni ndoto tu za asubuhi na siku mtakapoamka kitu kimezama ndo mtajua kama CDM inakufa au mnaifia
Huu ni ushahidi tosha ya kuwa chadema inaeleke kufa kama sio kupotea katika siasa za Tanzania
ilianza 2010 wakawa wanapata wafuasi wengi lakini hawapigi kula Dr Slaa akaanguka Vibaya
Na sasa Kashindye Joseph kasababisha mtafaruku katika chadema timu nzima ya wabunge wake
ilielekea Igunga na kuambulia patupu
Mytake: Kwa mtindo huu Chadema haitokuwa chama cha kuongoza nchi hii
kaburi lake wamejichongea WENYEWE
Kweli nimeamini wewe ni J.K kwa kungalia mtazamo wako,si unakumbuka wajina wako akiulizwa majibu anayotoa ni mepesi sana ni sawa na wewe data zote unazo lakini kuanalyse zinakushinda::Jibu swali la chini hilo
"Mwaka jana wapiga kura wale wale mmepata kura elfu 35 sawa na asilimia zaidi 80 mwaka huu wapiga kura wale wale mmepata kura elf 26.chadema mwaka jana kura elf 6 mwaka huu kura elf 23. Sasa chama kipi kinakufa kati ya cdm na ccm"