Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,270
- 675
Huu ni ushahidi tosha ya kuwa chadema inaeleke kufa kama sio kupotea katika siasa za Tanzania
ilianza 2010 wakawa wanapata wafuasi wengi lakini hawapigi kula Dr Slaa akaanguka Vibaya
Na sasa Kashindye Joseph kasababisha mtafaruku katika chadema timu nzima ya wabunge wake
ilielekea Igunga na kuambulia patupu
Mytake: Kwa mtindo huu Chadema haitokuwa chama cha kuongoza nchi hii
kaburi lake wamejichongea WENYEWE
ilianza 2010 wakawa wanapata wafuasi wengi lakini hawapigi kula Dr Slaa akaanguka Vibaya
Na sasa Kashindye Joseph kasababisha mtafaruku katika chadema timu nzima ya wabunge wake
ilielekea Igunga na kuambulia patupu
Mytake: Kwa mtindo huu Chadema haitokuwa chama cha kuongoza nchi hii
kaburi lake wamejichongea WENYEWE